Wenje ana kazi maalum CHADEMA

Wenje ana kazi maalum CHADEMA

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Huyu Wenje amejidhihirisha kuwa ana kazi Maalum ndani ya CHADEMA.

Kwanza yeye ndiye kamleta Abdul CHADEMA. Mivurugano yote unayoiona kwa Sasa imeletwa na Wenje baada ya pesa za Abdul kuingia kwenye chama. Leo kiburi Cha Kambi ya Wenje ni kwamba Kuna pesa walizonazo ndizo Kinga yao. Na pesa za Abdul ndizo zitakazo saidia kuwashawishi wajumbe wa mpigie kura Wenje na Mwenyekiti wake. Wenje asingemleta Abdul kwenye chama yote haya yasingetokea.

Pili, Wenje alitaka kumuingiza Lissu kwenye mtego wa Abdul. Tukumbuke ya kwamba Wenje ndiye aliyempeleka Abdul kwa Lissu. Maana nyingine ni kwamba, Lissu angekubali kuchukua pesa za Abdul Leo hii akina Wenje wangeitumia Kama silaha ya kummaliza kisiasa Lissu. Jiulize Kama kweli Wenje hajui protocali za serikali kuhusu malipo mpaka akaongee na mtoto wa Rais?. Tuwe wakweli. Cha msingi ni kwamba Lissu aliepuka huo mtego la sivyo Leo akina Wenje wangekuja Hadi na video za maongezi au stakabadhi za malipo. Yani Lissu alitumia akili Sana la sivyo wangemmaliza.

Tatu, Wenje yupo kumtoa Lissu kwenye reli. Baada tu ya kuchafuliwa kuwa mwenyekiti ya Kanda ya Victoria , ni Wenje huyo huyo alitangaza kugombea Umakamu Wenyekiti wa CHADEMA. Pamoja kwamba ni haki yake ya kichama, ila ilizua swali kwanini asijielekeze kwanza kwenye Kanda aliyochaguliwa ila anakimbilia kwenye umakamu uenyekiti?. Je ametumwa ili atumie fedha za Abdul kuhonga wajumbe ili afanikiwe kumtoa Lissu. Lissu kwa kujuaa mipango ya Wenje akajitoa kugombea umakamu uenyekiti na kugombea Uenyekiti. Sasa hapo ndipo kelele zikaanza.

Mwisho, Wenje anatumika kumtoa Pambalu kwenye reli. Pambalu alipotangaza kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Victoria , Wenje akaibuka naye kutaka kugombea. Kama haitoshi, Wenje kamvamia Pambalu Nyamagana kutaka kugombea ubunge mwaka 2025. Yote ni kumtoa Pambalu kwenye reli na amefanikiwa kwa hilo.

Niwe mkweli, kitendo Cha WanaCHADEMA kuogopa kuchukua fomu za umakamu uenyekiti kisa kumuogopa Wenje na pesa Abdul, kinaonesha jinsi CHADEMA inavyoharibiwa na vibaraka wa CCM.
 
Abdul hana fedha, fedha yote ni mali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

unless otherwise urekebishe usemi: Hongo kutoka kwa Abdul (na ueleze Abdul ni nani maana sio jina la Pekee kama Yesu au mtume Muhammad S.A.W)

Shubammit..
 
Huyu Wenje amejidhihirisha kuwa ana kazi Maalum ndani ya CHADEMA.

Kwanza yeye ndiye kamleta Abdul CHADEMA. Mivurugano yote unayoiona kwa Sasa imeletwa na Wenje baada ya pesa za Abdul kuingia kwenye chama. Leo kiburi Cha Kambi ya Wenje ni kwamba Kuna pesa walizonazo ndizo Kinga yao. Na pesa za Abdul ndizo zitakazo saidia kuwashawishi wajumbe wa mpigie kura Wenje na Mwenyekiti wake. Wenje asingemleta Abdul kwenye chama yote haya yasingetokea.

Pili, Wenje alitaka kumuingiza Lissu kwenye mtego wa Abdul. Tukumbuke ya kwamba Wenje ndiye aliyempeleka Abdul kwa Lissu. Maana nyingine ni kwamba, Lissu angekubali kuchukua pesa za Abdul Leo hii akina Wenje wangeitumia Kama silaha ya kummaliza kisiasa Lissu. Jiulize Kama kweli Wenje hajui protocali za serikali kuhusu malipo mpaka akaongee na mtoto wa Rais?. Tuwe wakweli. Cha msingi ni kwamba Lissu aliepuka huo mtego la sivyo Leo akina Wenje wangekuja Hadi na video za maongezi au stakabadhi za malipo. Yani Lissu alitumia akili Sana la sivyo wangemmaliza.

Tatu, Wenje yupo kumtoa Lissu kwenye reli. Baada tu ya kuchafuliwa kuwa mwenyekiti ya Kanda ya Victoria , ni Wenje huyo huyo alitangaza kugombea Umakamu Wenyekiti wa CHADEMA. Pamoja kwamba ni haki yake ya kichama, ila ilizua swali kwanini asijielekeze kwanza kwenye Kanda aliyochaguliwa ila anakimbilia kwenye umakamu uenyekiti?. Je ametumwa ili atumie fedha za Abdul kuhonga wajumbe ili afanikiwe kumtoa Lissu. Lissu kwa kujuaa mipango ya Wenje akajitoa kugombea umakamu uenyekiti na kugombea Uenyekiti. Sasa hapo ndipo kelele zikaanza.

Mwisho, Wenje anatumika kumtoa Pambalu kwenye reli. Pambalu alipotangaza kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Victoria , Wenje akaibuka naye kutaka kugombea. Kama haitoshi, Wenje kamvamia Pambalu Nyamagana kutaka kugombea ubunge mwaka 2025. Yote ni kumtoa Pambalu kwenye reli na amefanikiwa kwa hilo.

Niwe mkweli, kitendo Cha WanaCHADEMA kuogopa kuchukua fomu za umakamu uenyekiti kisa kumuogopa Wenje na pesa Abdul, kinaonesha jinsi CHADEMA inavyoharibiwa na vibaraka wa CCM.
Nimesikitika sana Heche hakuchua form kugombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti.
 
Niwe mkweli, kitendo Cha WanaCHADEMA kuogopa kuchukua fomu za umakamu uenyekiti kisa kumuogopa Wenje na pesa Abdul, kinaonesha jinsi CHADEMA inavyoharibiwa na vibaraka wa CCM
Yote haya kayaanzisha mwenyekiti Mbowe. Amekuwa na hii tabia ya kula na ccm kwa miaka mingi.

Nadhani huu ndiyo mwaka ambao shetanI ameamua kumuumbua.
 
Amesababisha vijana wadogo kupoteza maisha yao, wakidhani wanafanya mapambano ya dhati na haki, kumbe Mbowe anacheza Kekundu

Aysee awe tu mpole sasa! awapishe waliomaanisha kuwasaidia wananchi, hata wananchi wa kule kijijini kwetu Kakonko wameshamshtukia.

kuona kuwa wengine "hamnazo" mbaya sana
 
Huyu Wenje amejidhihirisha kuwa ana kazi Maalum ndani ya CHADEMA.

Kwanza yeye ndiye kamleta Abdul CHADEMA. Mivurugano yote unayoiona kwa Sasa imeletwa na Wenje baada ya pesa za Abdul kuingia kwenye chama. Leo kiburi Cha Kambi ya Wenje ni kwamba Kuna pesa walizonazo ndizo Kinga yao. Na pesa za Abdul ndizo zitakazo saidia kuwashawishi wajumbe wa mpigie kura Wenje na Mwenyekiti wake. Wenje asingemleta Abdul kwenye chama yote haya yasingetokea.

Pili, Wenje alitaka kumuingiza Lissu kwenye mtego wa Abdul. Tukumbuke ya kwamba Wenje ndiye aliyempeleka Abdul kwa Lissu. Maana nyingine ni kwamba, Lissu angekubali kuchukua pesa za Abdul Leo hii akina Wenje wangeitumia Kama silaha ya kummaliza kisiasa Lissu. Jiulize Kama kweli Wenje hajui protocali za serikali kuhusu malipo mpaka akaongee na mtoto wa Rais?. Tuwe wakweli. Cha msingi ni kwamba Lissu aliepuka huo mtego la sivyo Leo akina Wenje wangekuja Hadi na video za maongezi au stakabadhi za malipo. Yani Lissu alitumia akili Sana la sivyo wangemmaliza.

Tatu, Wenje yupo kumtoa Lissu kwenye reli. Baada tu ya kuchafuliwa kuwa mwenyekiti ya Kanda ya Victoria , ni Wenje huyo huyo alitangaza kugombea Umakamu Wenyekiti wa CHADEMA. Pamoja kwamba ni haki yake ya kichama, ila ilizua swali kwanini asijielekeze kwanza kwenye Kanda aliyochaguliwa ila anakimbilia kwenye umakamu uenyekiti?. Je ametumwa ili atumie fedha za Abdul kuhonga wajumbe ili afanikiwe kumtoa Lissu. Lissu kwa kujuaa mipango ya Wenje akajitoa kugombea umakamu uenyekiti na kugombea Uenyekiti. Sasa hapo ndipo kelele zikaanza.

Mwisho, Wenje anatumika kumtoa Pambalu kwenye reli. Pambalu alipotangaza kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Victoria , Wenje akaibuka naye kutaka kugombea. Kama haitoshi, Wenje kamvamia Pambalu Nyamagana kutaka kugombea ubunge mwaka 2025. Yote ni kumtoa Pambalu kwenye reli na amefanikiwa kwa hilo.

Niwe mkweli, kitendo Cha WanaCHADEMA kuogopa kuchukua fomu za umakamu uenyekiti kisa kumuogopa Wenje na pesa Abdul, kinaonesha jinsi CHADEMA inavyoharibiwa na vibaraka wa CCM.
ni muhimu zaidi,
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi akaweka wazi video footage za CCTV camera zikimuonyesha akiingiza maburungutu ya pesa chumbani kwake kutoka sebuleni alikokua ameketi pamoja na wageni wake bila kuhesabu ni kiasi gani pesa anaingiza chumbani kwake,

hii itasaidia sana kuondoa hii kasumba ya kubwekabweka na kusingiziana mambo ambayo wahusika walikua pamoja ndani ya chumba kimoja. atoe video tumuone alivyokua akitabasamu wakati wa kupokea mlungula ili usafi wa rushwa zake ujulikane 🐒
 
Abdul hana fedha, fedha yote ni mali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,

unless otherwise urekebishe usemi: Hongo kutoka kwa Abdul (na ueleze Abdul ni nani maana sio jina la Pekee kama Yesu au mtume Muhammad S.A.W)

Shubammit..
Hizi nazo eti ni akili! Hana fedha wakati bwana zako wanamfuata nyumba kama nzi anavyofata kinyesi! Ulisema Hana fedha kila mtu mwenye akili timamu anakushangaa labda kama hujui fedha nini, lakini kama unajua then haitakupa shida kujua anazo au hana. Abdul ni jina la pekee, kwa taarifa yako, anaweza asiwe nalo peke yake, lakini haiondoi u-unique, kama unamtoto ananaitwa Abdul excelpia to hell with you and your son he has got nothing and will have nothingo do with the tanzanians.
 
Mbowe na genge lake wakotayari kuuwa ilimradi tu shetani mbowe awe m/kiti wa kudumu wa CHADEMA
 
Amesababisha vijana wadogo kupoteza maisha yao, wakidhani wanafanya mapambano ya dhati na haki, kumbe Mbowe anacheza Kekundu
Nilisoma sehemu Pambalu akiwa anasema January ifike apishe wengine kwani kazi hiyo ni very risk! Unafanya kazi katika mazingira ambayo ni uncertain huku kiona wenzako wanapotea with nowhere to be found!
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Huyu Wenje amejidhihirisha kuwa ana kazi Maalum ndani ya CHADEMA.

Kwanza yeye ndiye kamleta Abdul CHADEMA. Mivurugano yote unayoiona kwa Sasa imeletwa na Wenje baada ya pesa za Abdul kuingia kwenye chama. Leo kiburi Cha Kambi ya Wenje ni kwamba Kuna pesa walizonazo ndizo Kinga yao. Na pesa za Abdul ndizo zitakazo saidia kuwashawishi wajumbe wa mpigie kura Wenje na Mwenyekiti wake. Wenje asingemleta Abdul kwenye chama yote haya yasingetokea.

Pili, Wenje alitaka kumuingiza Lissu kwenye mtego wa Abdul. Tukumbuke ya kwamba Wenje ndiye aliyempeleka Abdul kwa Lissu. Maana nyingine ni kwamba, Lissu angekubali kuchukua pesa za Abdul Leo hii akina Wenje wangeitumia Kama silaha ya kummaliza kisiasa Lissu. Jiulize Kama kweli Wenje hajui protocali za serikali kuhusu malipo mpaka akaongee na mtoto wa Rais?. Tuwe wakweli. Cha msingi ni kwamba Lissu aliepuka huo mtego la sivyo Leo akina Wenje wangekuja Hadi na video za maongezi au stakabadhi za malipo. Yani Lissu alitumia akili Sana la sivyo wangemmaliza.

Tatu, Wenje yupo kumtoa Lissu kwenye reli. Baada tu ya kuchafuliwa kuwa mwenyekiti ya Kanda ya Victoria , ni Wenje huyo huyo alitangaza kugombea Umakamu Wenyekiti wa CHADEMA. Pamoja kwamba ni haki yake ya kichama, ila ilizua swali kwanini asijielekeze kwanza kwenye Kanda aliyochaguliwa ila anakimbilia kwenye umakamu uenyekiti?. Je ametumwa ili atumie fedha za Abdul kuhonga wajumbe ili afanikiwe kumtoa Lissu. Lissu kwa kujuaa mipango ya Wenje akajitoa kugombea umakamu uenyekiti na kugombea Uenyekiti. Sasa hapo ndipo kelele zikaanza.

Mwisho, Wenje anatumika kumtoa Pambalu kwenye reli. Pambalu alipotangaza kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Victoria , Wenje akaibuka naye kutaka kugombea. Kama haitoshi, Wenje kamvamia Pambalu Nyamagana kutaka kugombea ubunge mwaka 2025. Yote ni kumtoa Pambalu kwenye reli na amefanikiwa kwa hilo.

Niwe mkweli, kitendo Cha WanaCHADEMA kuogopa kuchukua fomu za umakamu uenyekiti kisa kumuogopa Wenje na pesa Abdul, kinaonesha jinsi CHADEMA inavyoharibiwa na vibaraka wa CCM.
upuuzi mtupu yaani wanajiharibu wenyewe wanasingizia ccm hiyo ni tamaa yao wenyewe wwe unaambiwa rushwa mbaya nyie mnaipokea na kuikumbatia halafu mnasema mnaharibiwa na ccm? kwani abdul n mwana ccm nani aliwaambia
 
Amesababisha vijana wadogo kupoteza maisha yao, wakidhani wanafanya mapambano ya dhati na haki, kumbe Mbowe anacheza Kekundu
Siasa kuielewa ni vigumu sana. 2020 kaka yake Wenje aliuwawa kule Rolya kwa ushindani wa vyama pinzani na CCM.. Leo Wenje huyo huyo anaowaona wazuri hadi anachukua pesa zao. Bora nikae hivi hivi bila ushabiki wa siasa nibaki na Yesu wangu tu.
 
Back
Top Bottom