Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Naona sasa CDM inarudi kwenye Ile reli yake ya mwanzo,kuwa chama makini kwa kuwa na safu ya viongozi bora kabisaHii ni baada ya kubaki Mgombea pekee , kabla ya Uchaguzi huo Mpinzani wake John Pambalu alitangaza kujitoa
Bado haikujulikana sababu ya John Pambalu kujiondoa
Chama cha Rushwa ni ccmPambalu hana hela, na hicho chama kimeshakuwa cha wala rushwa
CCM bila rushwa huwezi pata nafasi ya uongozi.Chama cha Rushwa ni ccm
Pambalu na mshahara wa uwalimu atamuhonga nani? Shilingi ngapi? Labda auze chaki na aibe madaftari ya wanafunzi akauze.Chama cha Rushwa ni ccm
Pesa za mama abduli!Hii ni baada ya kubaki Mgombea pekee , kabla ya Uchaguzi huo Mpinzani wake John Pambalu alitangaza kujitoa
Bado haikujulikana sababu ya John Pambalu kujiondoa
Saccos ya wanuka Rushwa ππππHii ni baada ya kubaki Mgombea pekee , kabla ya Uchaguzi huo Mpinzani wake John Pambalu alitangaza kujitoa
Bado haikujulikana sababu ya John Pambalu kujiondoa
Sababu ya kujitoa ni rushwa kutamalaki na yeye hakuwa na hela ya kuhonga. Akaona Bora yesheee! Kumbuka nami nilikuwa jirani na ukumbi wa uchaguzi na Pambalu ni jirani yangu! Ahahahahaha!!! Chama cha Demokrasia na Rushwa! Ahahahahaha!!!Hii ni baada ya kubaki Mgombea pekee , kabla ya Uchaguzi huo Mpinzani wake John Pambalu alitangaza kujitoa
Bado haikujulikana sababu ya John Pambalu kujiondoa
Kivipi?Mbona wanasikika watu walewale wa 2010 tu? Ndiyo kusema chadema haijatengeneza wanachama wapya tangu 2010??
Wenje ana bei gani?Pambalu hana hela, na hicho chama kimeshakuwa cha wala rushwa
Mbona unajichekesha chekesha kiboya.Sababu ya kujitoa ni rushwa kutamalaki na yeye hakuwa na hela ya kuhonga. Akaona Bora yesheee! Kumbuka nami nilikuwa jirani na ukumbi wa uchaguzi na Pambalu ni jirani yangu! Ahahahahaha!!! Chama cha Demokrasia na Rushwa! Ahahahahaha!!!
Kanda ya Nyasa wanaosikika ni Sugu na Msigwa.Kivipi?
Hakuna wakati wewe hujajiyokeza ?Kanda ya Nyasa wanaosikika ni Sugu na Msigwa.
Kanda ya kaskazini namsikia Lema.
Ndiyo nikauliza chadema hakunal wanachama wengine ambao wanaoweza kugombea nafasi hizo na kuleta chachu mpya?
Mkuu hata ningejitokeza mm ndiyo ningesambaa Kanda zote?Hakuna wakati wewe hujajiyokeza ?