Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari hatua moja huongeza ingineMkuu hata ningejitokeza mm ndiyo ningesambaa Kanda zote?
Nenda pale korido za wala kwa kamba umewekewa fungu la uchawa😂Chadema wanahongana hela za kutosha.
Pambalu amehongwa rushwa
Wewe endelea na kukitumikia chama chenu chakavu, chama kimechokwa na watanzania wenye nia njema na taifa lao.Chadema wanahongana hela za kutosha.
Pambalu amehongwa rushwa
Kabisa kabisa tena rushwa zote zinazo julikanaCCM bila rushwa huwezi pata nafasi ya uongozi.
Majizi wote wamejazana ndani ya CCMPambalu na mshahara wa uwalimu atamuhonga nani? Shilingi ngapi? Labda auze chaki na aibe madaftari ya wanafunzi akauze.
Kuna kuogopana sana CDM, nidhamu za uoga. Sugu na Msigwa wamejaribu kuvuka hapo.Kanda ya Nyasa wanaosikika ni Sugu na Msigwa.
Kanda ya kaskazini namsikia Lema.
Ndiyo nikauliza chadema hakunal wanachama wengine ambao wanaoweza kugombea nafasi hizo na kuleta chachu mpya?
Kumkubali kwako au kutomkubali haitusaidii kitu chochote.Pambalu itakuwa amepata mnofu kisha kaamua kupita hivi....though pambalu huwa simkubali.
Wewe nenda kalinde kaburi la masiah wenu kule burigiPesa za mama abduli!
Ungekuwa na akili usingefunua mdomo wakoSaccos ya wanuka Rushwa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeamini uvccm wote hamna akili hata kidogo.Sababu ya kujitoa ni rushwa kutamalaki na yeye hakuwa na hela ya kuhonga. Akaona Bora yesheee! Kumbuka nami nilikuwa jirani na ukumbi wa uchaguzi na Pambalu ni jirani yangu! Ahahahahaha!!! Chama cha Demokrasia na Rushwa! Ahahahahaha!!!
Ikikuuma ichomoeMbona wanasikika watu walewale wa 2010 tu? Ndiyo kusema chadema haijatengeneza wanachama wapya tangu 2010??
Wachana na huyo komba mwiko wa lumumbaKivipi?
Anatafuta wa kumshika mkono[emoji1787]Mbona unajichekesha chekesha kiboya.
Swalama kweli rafiki?
Fomu zilichapishwa nyingi na kila mmoja aliruhusuwa kugombeaKanda ya Nyasa wanaosikika ni Sugu na Msigwa.
Kanda ya kaskazini namsikia Lema.
Ndiyo nikauliza chadema hakunal wanachama wengine ambao wanaoweza kugombea nafasi hizo na kuleta chachu mpya?
Inakuuma sana chawaKanda ya Nyasa wanaosikika ni Sugu na Msigwa.
Kanda ya kaskazini namsikia Lema.
Ndiyo nikauliza chadema hakunal wanachama wengine ambao wanaoweza kugombea nafasi hizo na kuleta chachu mpya?
Kama kuna kosa kubwa chadema inaifanya ni kuendekeza nadharia hiiUungu mtu uliopo hasa kwenye nafasi ya mweyekiti wa chama, inadumaza demokrasia, inaonyesha bila Mbowe chama hakiwezi sogea, na kitakufa.
Nadhani ni vema ukatoa ufafanuzi badala ya kuona kila anayeuliza ni adui. Nyenzo ya kwanza ya kueneza chama ni falsafa yake ndipo sera zinafuata.Ikikuuma ichomoe
Uchakavu wa CCM upo ktk madhaifu yake, ambayo kwa kiasi kikubwa yanaigwa na chadema. Mfano rushwa, kubinya demokrasia ndani ya chama, kubebana ktk uongozi, n.k. Kwahiyo chadema inachakaa hata kabla ya kuzeekaWewe endelea na kukitumikia chama chenu chakavu, chama kimechokwa na watanzania wenye nia njema na taifa lao.
Chadema ndiyo chama kitawakomboa watanzania
Aliye kuruzuku bundle katuletea msala!Wewe nenda kalinde kaburi la masiah wenu kule burigi