Wenje ashinda Uenyekiti wa Kanda ya Victoria

Wenje ashinda Uenyekiti wa Kanda ya Victoria

Ungekuwa na akili usingefunua mdomo wako
20240526_111548.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Nimeamini uvccm wote hamna akili hata kidogo.
Yaani rushwa ilivyo jikita ndani ya CCM bado unapanua kinywa chako juu ya cdm?
Kwahiyo kwakuwa CCM kuna rushwa basi rushwa iliyopo Chadema isisemwe sio? Ahahahahaha!!!
 
Hiki chama kina vituko, mtu anaishi marekani, atawaongoza kwa remote?
 
Chadema wanahongana hela za kutosha.

Pambalu amehongwa rushwa
Kama unafikiri kuna hela, hamia na wewe huko ili ukazipate/ukahongwe..

Au wewe hupendi pesa?

Acha hizo wewe. Ma - CCM mlivyo na uchu wa pesa, ningekuwapo ugeshajigeuza kuwa "Malaika wa nuru" kitambo kuzimendea maana ninyi mko tayari kumtumia hata shetani ili mradi mpate maokoto!
 
Kama unafikiri kuna hela, hamia na wewe huko ili ukazipate/ukahongwe..

Au wewe hupendi pesa?

Acha hizo wewe. Ma - CCM mlivyo na uchu wa pesa, ningekuwapo ugeshajigeuza kuwa "Malaika wa nuru" kitambo kuzimendea maana ninyi mko tayari kumtumia hata shetani ili mradi mpate maokoto!
MaCCM siku zote yanawaza kufisidi fedha za umma. Haya majitu ni ya ajabu sana.
 
Back
Top Bottom