Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Wenje na Lissu wote hawaelewi au wanadharau ukweli kuwa kumtumia Abdul kupata fadhila Lissu alipwe hela ni makosa. Ni influence peddling. This is unethical.
Abdul hayupo katika mchakato wa Lissu kulipwa hela. In fact hata rais hayupo. Lissu alikosea tangu Belgium kumpa Samia kazi ya kumtafutia passport mpya na malipo yake. Hizo si kazi za rais wala mwanawe. Lissu katumia position yake kisiasa kupata personal gain unfairly.
Lissu alitakiwa kukataa rushwa ya pesa na rushwa ya fadhila kutoka kwa Abdul.
Inaonekana Lissu kakataa rushwa ya pesa, lakini kakubali rushwa ya fadhila.
Abdul hayupo katika mchakato wa Lissu kulipwa hela. In fact hata rais hayupo. Lissu alikosea tangu Belgium kumpa Samia kazi ya kumtafutia passport mpya na malipo yake. Hizo si kazi za rais wala mwanawe. Lissu katumia position yake kisiasa kupata personal gain unfairly.
Lissu alitakiwa kukataa rushwa ya pesa na rushwa ya fadhila kutoka kwa Abdul.
Inaonekana Lissu kakataa rushwa ya pesa, lakini kakubali rushwa ya fadhila.