Hoja lakini mnoNaona Wenje kaamua kumkalia kooni Tundu Lissu anafumua kila kilichojificha!
Je anayoyasema yanaukweli kiasi gani ? au ndiyo kampeni za kuchafuana. Ila aweke akiba ya maneno maana sisi ni People tutakutana tu!
Unapokuwa Mbunge wa CHADEMA unachangia Chama, Lissu mpaka anamaliza Bunge la 11 hajachangia hata Tsh.100 CHADEMA“ - Wenje
Wenje uko vizuri Lisu haaminikiNaona Wenje kaamua kumkalia kooni Tundu Lissu anafumua kila kilichojificha!
Je anayoyasema yanaukweli kiasi gani ? au ndiyo kampeni za kuchafuana. Ila aweke akiba ya maneno maana sisi ni People tutakutana tu!
Unapokuwa Mbunge wa CHADEMA unachangia Chama, Lissu mpaka anamaliza Bunge la 11 hajachangia hata Tsh.100 CHADEMA“ - Wenje
Lisu unashindwa kuchangia mill 30?Naona Wenje kaamua kumkalia kooni Tundu Lissu anafumua kila kilichojificha!
Je anayoyasema yanaukweli kiasi gani ? au ndiyo kampeni za kuchafuana. Ila aweke akiba ya maneno maana sisi ni People tutakutana tu!
Unapokuwa Mbunge wa CHADEMA unachangia Chama, Lissu mpaka anamaliza Bunge la 11 hajachangia hata Tsh.100 CHADEMA“ - Wenje
Pale unapochangia huku ukijua kabisa Mtu fulani anaenda kuzipiga. Utakuwa mjinga ukiendelea kuchanga.Naona Wenje kaamua kumkalia kooni Tundu Lissu anafumua kila kilichojificha!
Je anayoyasema yanaukweli kiasi gani ? au ndiyo kampeni za kuchafuana. Ila aweke akiba ya maneno maana sisi ni People tutakutana tu!
Unapokuwa Mbunge wa CHADEMA unachangia Chama, Lissu mpaka anamaliza Bunge la 11 hajachangia hata Tsh.100 CHADEMA“ - Wenje
Wenje kibarua alichopewa na Mama Abdallal kitamtoka puani.Lissu sio mjinga achangie pesa wakati anajua zinaenda kuibiwa. Wajinga ndio waliwao
Wafuasi wa mwanasheria na mwanasheria mwenyewe kutoa ushahidi usiotia shaka ni kama mbingu na ardhi.Tunaomba picha ya wenje na Abdul wakiwa nyumbani Kwa TL
Wenje ni mweupe sana kichwani. Labda tu ufurahie kusikia kiswahili chake cha kijaluoWenje kibarua alichopewa na Mama Abdallal kitamtoka puani.
Namuomba mungu ashangae na mimi.Nisaidie kushangaaa.
HahahaWenje ni mweupe sana kichwani. Labda tu ufurahie kusikia kiswahili chake cha kijaluo
Mzee OjwangHahaha
Wewe ndo Fala! Kwani wana singida walimchagua Lissu akachangie chadema au achangie maendeleo jimboni kwao? Na ndo maana chama kinapewa ruzuku kulingana na uwakilishi haya hizo ruzuku ushawahi kujua zinapotelea shimo gani?Bunge la 11 kulikua na mama Abduli? Mbowe sio mjinga kushindwa kumuachia Lissu Chama!
Sasa hakuchangia vipi ilihali mmesema ni lazima!!Naona Wenje kaamua kumkalia kooni Tundu Lissu anafumua kila kilichojificha!
Je anayoyasema yanaukweli kiasi gani ? au ndiyo kampeni za kuchafuana. Ila aweke akiba ya maneno maana sisi ni People tutakutana tu!
Unapokuwa Mbunge wa CHADEMA unachangia Chama, Lissu mpaka anamaliza Bunge la 11 hajachangia hata Tsh.100 CHADEMA“ - Wenje
Alisema hela ni zake sio za chama.Naona Wenje kaamua kumkalia kooni Tundu Lissu anafumua kila kilichojificha!
Je anayoyasema yanaukweli kiasi gani ? au ndiyo kampeni za kuchafuana. Ila aweke akiba ya maneno maana sisi ni People tutakutana tu!
Unapokuwa Mbunge wa CHADEMA unachangia Chama, Lissu mpaka anamaliza Bunge la 11 hajachangia hata Tsh.100 CHADEMA“ - Wenje
Sisi tusio wanachadema tunajitahidi kuwaonesha Kiongozi wa Kweli Chadema ni Mbowe wao wanamtaka Lissu chama kife waisingizie CCM.Bunge la 11 kulikua na mama Abduli? Mbowe sio mjinga kushindwa kumuachia Lissu Chama!
Kwahiyo Mkutano Mkuu anaotaka umchague kuwa Mwenyekiti utaendeshwa kwa gharama ya nani? Kwamba kina watu wagharimike ili wamchague yeye kuwaongoza? Seriously?Lissu sio mjinga achangie pesa wakati anajua zinaenda kuibiwa. Wajinga ndio waliwao