Wenje: Lissu ni muongo sana

Wenje: Lissu ni muongo sana

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Akihojiwa na wasafi media, moja kati ya viongozi waandamizi wa chadema, Mr. Wenje amesema kwamba Lissu ni moja kati ya waandamizi wa uongo katika chama hicho. Na mara kadhaa amejaribu kupenyeza taarifa za uongo kufitinisha na kugombanisha viongozi wenzake wa chadema.

Lissu mara kadhaa pia amekuwa akipingwa na serikali na wanasiasa wa vyama vingine kutokana kauli zake ambazo sasa, viongozi wenzake wamekuja hadharani na kumuita muongo wa ngazi ya uzamivu.
 

Attachments

  • Screenshot_20241231-130543.jpg
    Screenshot_20241231-130543.jpg
    551.6 KB · Views: 5
Akihojiwa na wasafi media, moja kati ya viongozi waandamizi wa chadema, Mr. Wenje amesema kwamba Lissu ni moja kati ya waandamizi wa uongo katika chama hicho. Na mara kadhaa amejaribu kupenyeza taarifa za uongo kufitinisha na kugombanisha viongozi wenzake wa chadema.

Lissu mara kadhaa pia amekuwa akipingwa na serikali na wanasiasa wa vyama vingine kutokana kauli zake Amazon sasa, viongozi wenzake wamekuja hadharani na kumuita muongo wa ngazi ya uzamivu.
Dalali wenje ndiyo muongo alitaka kubambika Deni feki kwa Lisu kuwa anamdai afanye udalali akate pesa zake humo, Wenje ni aina ya watu wa hovyo sana waliopo chadema sasa, ni mtu mjinga sana uwezo wake wa kufikiri ni ndogo kupindukia, kasahau kuwa yeye ndiyo kamchokoza Lisu, alienda kufuata nini nyumbani kwa Lisu? Mbona Lisu hajaenda nyumbani kwa wenje? Watalamu wa mambo hupima ubaya kwa kuangalia chanzo cha Tatizo kwanza kiini cha haya yote ni chokochoko za Wenje kutaka kumdhoofisha Lisu kisiasa, lisu alishamshitukia wenye ndiyo maana kakwepa udalali wake na sasa anatapatapa na kuongea visivyoeleweka
 
Wenje na mbowe wanahaha kununua uenyekiti na makamu mwenyekiti kwa gharama zozote maana wanajua mbowe kafuja kaiba pesa nyingi za chadema na endapo utaingia uongozi mpya utaibua madudu yake yote ya ufisadi na Rushwa ya Ngono kwa wale wabunge 19 haramu ambao sasa wanapita kwa wajumbe kuwagawa pesa kama mvua ili Mbowe apate kuununua uenyekiti kwa kuiba kura uchakachuaji na mbinu zote za hovyo
 
I bet politics could never ever exist
 
Dalali wenje ndiyo muongo alitaka kubambika Deni feki kwa Lisu kuwa anamdai afanye udalali akate pesa zake humo, Wenje ni aina ya watu wa hovyo sana waliopo chadema sasa, ni mtu mjinga sana uwezo wake wa kufikiri ni ndogo kupindukia, kasahau kuwa yeye ndiyo kamchokoza Lisu, alienda kufuata nini nyumbani kwa Lisu? Mbona Lisu hajaenda nyumbani kwa wenje? Watalamu wa mambo hupima ubaya kwa kuangalia chanzo cha Tatizo kwanza kiini cha haya yote ni chokochoko za Wenje kutaka kumdhoofisha Lisu kisiasa, lisu alishamshitukia wenye ndiyo maana kakwepa udalali wake na sasa anatapatapa na kuongea visivyoeleweka
Wenje mtu makini, aliwahi kuwa mwalimu wa chuo kikuu cha St. Augustine Mwanza, mtu wa hivyo huwezi kumchukulia poa, amefundisha ma mtu yana digrii, na sasa mabosi
 
Wenje angekuwa na Akili kidogo alipaswa akae kimya maana yeye ndiyo chokochoko kwenda nyumbani kwa Lisu kutaka kumdhoofisha kisiasa, ebu pata picha Wenje amchokoze Lisu na huyo huyo wenje awe wa kwanza kusema Lisu muongo ni maajabu sana, ina maana wenje alitaka amfanyie lisu vituko visa vyake kisha Lisu akae kimya pasipo kujihami? Njaa za wenje ni hatari kuliko chochote
 
Akihojiwa na wasafi media, moja kati ya viongozi waandamizi wa chadema, Mr. Wenje amesema kwamba Lissu ni moja kati ya waandamizi wa uongo katika chama hicho. Na mara kadhaa amejaribu kupenyeza taarifa za uongo kufitinisha na kugombanisha viongozi wenzake wa chadema.

Lissu mara kadhaa pia amekuwa akipingwa na serikali na wanasiasa wa vyama vingine kutokana kauli zake ambazo sasa, viongozi wenzake wamekuja hadharani na kumuita muongo wa ngazi ya uzamivu.
Wenje ni mla rushwa sana
 
Wenje mtu makini, aliwahi kuwa mwalimu wa chuo kikuu cha St. Augustine Mwanza, mtu wa hivyo huwezi kumchukulia poa, amefundisha ma mtu yana digrii, na sasa mabosi
Wenje si mtu makini na kama alikuwa mwalimu alichokuwa akifundisha kimeshafutika kichwani mwake, sasa wenje kichwani ana Elimu ya Darasa la pili ni mjinga kupindukia udalali umemtoa ufahamu wote sasa ni mtu wa hovyo sana ni mtu punguani pekee aweza kumsikiliza wenye akamwelewa
 
Kwani walimu wangapi wapumbavu na wala rushwa tu?
Pesa za Abdul zinafanya kazi yake
Wenje mtu makini, aliwahi kuwa mwalimu wa chuo kikuu cha St. Augustine Mwanza, mtu wa hivyo huwezi kumchukulia poa, amefundisha ma mtu yana digrii, na sasa mabosi
 
Wenje hata kugombea Urais wa chama cha walimu hawezi ni Dalali mjinga sana
 
Wenje hata chama cha madalali kwenyewe hawamkubali, kutwa kavaa jaketi hata kwenye joto yupo na jaketi kwa kifupi wenje ni mtu wa hovyo sana, chawa aliowatuma mje kumtetea humu kaleni pesa zake andikeni ujinga aliowatuma ili sisi tumjibu humu apate kujua ujinga wake wote
 
Wenje hata chama cha madalali kwenyewe hawamkubali, kutwa kavaa jaketi hata kwenye joto yupo na jaketi kwa kifupi wenje ni mtu wa hovyo sana, chawa aliowatuma mje kumtetea humu kaleni pesa zake andikeni ujinga aliowatuma ili sisi tumjibu humu apate kujua ujinga wake wote
Unadhani ni majaketi kama ya kwenu Makete
 
Kwani walimu wangapi wapumbavu na wala rushwa tu?
Pesa za Abdul zinafanya kazi yake
Wenje namba nyingine, usiichezee, iko vizuri mno, labda unaongelea waalimu wako
 
Wenje mtu makini, aliwahi kuwa mwalimu wa chuo kikuu cha St. Augustine Mwanza, mtu wa hivyo huwezi kumchukulia poa, amefundisha ma mtu yana digrii, na sasa mabosi
Hicho chuo kifutwe haraka sana, alikuwa ana fundisha makupu tu, huyo hata nursery school hawezi fundisha, labda aka mfundishe Abdul kuiba pesa za Samia.
 
Hicho chuo kifutwe haraka sana, alikuwa ana fundisha makupu tu, huyo hata nursery school hawezi fundisha, labda aka mfundishe Abdul kuiba pesa za Samia.
Msomi makini sana, achana na huyo mnyoa panki, a mnyoa panki can't make a president
 
Back
Top Bottom