Wenje: Niko Chadema ninampa ushirikiano mkubwa mwenyekiti Lisu na Makamu Heche na nawahakikishia October tunaing'oa CCM madarakani!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema Uchaguzi umeisha sasa anampa ushirikiano mkubwa mwenyekiti Lisu na Makamu Heche Kwa 100%

Wenje amesema Kuna SIASA za Joto la Uchaguzi na uchaguzi ukiisha mnarejea kuwa Wamoja

Wenje amesema October ndio mwisho wa CCM itake isitake
 
Aseme kidogo kuhusu Andul na mipesa yake....unafikiwake kwa TL
 
Chadema chama cha wala rushwa yaani makamu na mwenyekiti wake wanashirikiana na mla rushwa!
 
Kapewa kazi nyingine, wanaskilizia plans zao mbadala..
 
kwahiyo sasa amekuwa informer wa kutuma ripoti upande wa pili kuwajulisha wa nini kinaendelea na nini kinapangwa huko chadema..huyu hafai kuaminiwa wala kushirikishwa kwenye mipango humo chadema atawaumiza..
 
Muulize wenje na Lissu simjui Abduli ni nani zaidi ya kumsikia lissu!
Kwanini sasa unalipa shingo adhabu ya kubeba KICHWA ambacho hakijui vitu??
🤣🤣
Huoni hayo ni matumizi mabaya ya shingo??🤔🤔
 
wenje apige kazi ila connection zake ,za akina Abdul....ziwe na mipaka
 
Ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!
 
Wenje amesema Kuna SIASA za Joto la Uchaguzi na uchaguzi ukiisha mnarejea kuwa Wamoja

Wenje amesema October ndio mwisho wa CCM itake isitake
Wakikutana na Abdul atamwambia nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…