johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria ndugu Ezekiel Wenje amesema Uchaguzi umeisha sasa anampa ushirikiano mkubwa mwenyekiti Lisu na Makamu Heche Kwa 100%
Wenje amesema Kuna SIASA za Joto la Uchaguzi na uchaguzi ukiisha mnarejea kuwa Wamoja
Wenje amesema October ndio mwisho wa CCM itake isitake
Wenje amesema Kuna SIASA za Joto la Uchaguzi na uchaguzi ukiisha mnarejea kuwa Wamoja
Wenje amesema October ndio mwisho wa CCM itake isitake