OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hata uso tu unaonekana liongo hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu anapigwa spana ccm na hata na viongozi waandamizi chadema, sababu ni moja tu, ukweli na uwazi kwake basiStaili ni moja tu,"JIANGALIE MWENYEWE NA FAMILIA YAKO"
Hawa Wana siasa wanatuchukulia poa Santa.Hongera sana lissu kwa msimamo,japo kuwaamini wanasiasa iliisha siku mzee ruksa Rais mwinyi alivyosema Kuna CCM-A na CCM-B,nikaachanaga na maigizo yao labda wananchi wenyewe wachukue hatamu
Last time kiongozi mmpenda ukweli na uwazi alitokea nae alipigwa vita ndani ya chama. Its seems mifumo haitaki mtu alie nyookaLissu anapigwa spana ccm na hata na viongozi waandamizi chadema, sababu ni moja tu, ukweli na uwazi kwake basi
TAKUKURU FUNGUA JALADA LA UCHUNGUZI HAPA, KAMA NCHI INAONGOZWA NA KATIBA NA SHERIAWakuu,
Kwahiyo Abdul ni nani serikalini hadi aanze kumhoji kuhusu serikali kushindwa kumlipa Lissu pesa za matibabu? Yaani anaenda kupull strings kama nani?
Naona Wenye anatumia nguvu nyingi kujaribu kujiosha. Kwahiyo usiku huo alikuwa amempeleka Abdul kwa Lissu akiwa na hela za matatibabu kisirisiri?🌚
TUnaendelea kunywa mtori...
====
View attachment 3181310
Wakuu,
Kwahiyo Abdul ni nani serikalini hadi aanze kumhoji kuhusu serikali kushindwa kumlipa Lissu pesa za matibabu? Yaani anaenda kupull strings kama nani?
Naona Wenye anatumia nguvu nyingi kujaribu kujiosha. Kwahiyo usiku huo alikuwa amempeleka Abdul kwa Lissu akiwa na hela za matatibabu kisirisiri?🌚
TUnaendelea kunywa mtori...
====
View attachment 3181310
huwaga nafuatilia siasa kama raia wengine wa kawaida lakini sija wahi haswa kufuatilia vyama vya siasa.Naona mambo yako very complicated haswa ndani ya CDM labda kwa kuwa yao wame amua kuyeweka wazi.Juzi niliangalia mdahara startv ule chief odemba na mashabiki wa lissu na mbowe.Nime ufuatilia sana ni meshangaa sana na wale watu(sijui kama walienda kuwa wakilisha L na M kwa baraka zao ama utashi wao tu),lakini mtazamo wangu huu uchaguzi unavyo fanyika, ukiisha uta complicate sana CDM kama taasisi. Mambo ni mengi aisee,ni kama watu wa vyama viwili tofauti.Wakuu,
Kwahiyo Abdul ni nani serikalini hadi aanze kumhoji kuhusu serikali kushindwa kumlipa Lissu pesa za matibabu? Yaani anaenda kupull strings kama nani?
Naona Wenye anatumia nguvu nyingi kujaribu kujiosha. Kwahiyo usiku huo alikuwa amempeleka Abdul kwa Lissu akiwa na hela za matatibabu kisirisiri?🌚
TUnaendelea kunywa mtori...
====
View attachment 3181310