Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Wana JF nisaidien kupata jibu la swala hili mfano, wewe unaishi kwenye nyumba ya kupanga, mambo yamegoma ukalimbikiza deni la kodi ya miezi 3 sawa na Tsh 300,000/= .
Mwenye nyumba akakupa siku tatu uwe umemlipa hiyo pesa ukishindwa anakuondoa kwake,,,, Basi kesho yake ukaamkia kuitafuta hiyo pesa, sasa imefika saa 7 mchana hujapata na unahisi njaa, wakati uko mtaani unajikuta umekatiza karibu na restaurant( hoteli iayouza chakula) ,mara ukasikia mtu anakuita pale restaurant.
Ukaenda ile umefika ukamuona yule mwenye nyumba ndo anakuita, akakuagizia chakula na kukulipia ukaanza kula muda ule ule yeye akaondoka,,,ukahamia kwenye kiti alichokuwa amekalia, ukakuta wallet imejaa noti za elfu 10, ukaichukua na kuiweka mfukoni.
Dakika 3 baadae yule mwenye nyumba akarudi pale akakukuta umekalia kile kiti akakuuliza vipi ndugu umeniokotea waleti yangu hapo kwenye kiti ila sina uhakika kama nimeidondosha hapa ina Tsh Milioni1
Je, UTAKUBALI au UTAKATAA??
Mwenye nyumba akakupa siku tatu uwe umemlipa hiyo pesa ukishindwa anakuondoa kwake,,,, Basi kesho yake ukaamkia kuitafuta hiyo pesa, sasa imefika saa 7 mchana hujapata na unahisi njaa, wakati uko mtaani unajikuta umekatiza karibu na restaurant( hoteli iayouza chakula) ,mara ukasikia mtu anakuita pale restaurant.
Ukaenda ile umefika ukamuona yule mwenye nyumba ndo anakuita, akakuagizia chakula na kukulipia ukaanza kula muda ule ule yeye akaondoka,,,ukahamia kwenye kiti alichokuwa amekalia, ukakuta wallet imejaa noti za elfu 10, ukaichukua na kuiweka mfukoni.
Dakika 3 baadae yule mwenye nyumba akarudi pale akakukuta umekalia kile kiti akakuuliza vipi ndugu umeniokotea waleti yangu hapo kwenye kiti ila sina uhakika kama nimeidondosha hapa ina Tsh Milioni1
Je, UTAKUBALI au UTAKATAA??