Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
HakikaHuyu alikuwa mtu sana huyu
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"Leo tarehe 17/03 ni siku ambayo hayati JPM alitutoka 2021.
Katika pitapita leo nimekutana na kijana mmoja kuniambia sisi ambao hatuna akili na sio wazalendo ambao wengi wetu tulikosa virutubisho utotoni na kupata udumavu hatuoni mchango wa hayati Magufuli.
Hiyo inapelekea kumsema vibaya na kutoona mazuri yake kipindi cha uhai wake lakini wao wenye akili na uzalendo wanamkumbuka sana.
Lakini pia wengi wetu hatuna uzalendo.
Hivyo tunampomkumbuka hayati Magufuli tuyatafakari haya pia.
View attachment 2936876
🙏"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
Huyo shetani labda we na mkeo ndiyo mnamhitaji, ila mnaweza kumfuata aliko sahivi. Mtu mshamba mbaguzi km yule never never never again. Haitakaa irudie tena, ht JK anajutia uamuzi wake wakati uleLeo tarehe 17/03 ni siku ambayo hayati JPM alitutoka 2021.
Katika pitapita leo nimekutana na kijana mmoja kuniambia sisi ambao hatuna akili na sio wazalendo ambao wengi wetu tulikosa virutubisho utotoni na kupata udumavu hatuoni mchango wa hayati Magufuli.
Hiyo inapelekea kumsema vibaya na kutoona mazuri yake kipindi cha uhai wake lakini wao wenye akili na uzalendo wanamkumbuka sana.
Lakini pia wengi wetu hatuna uzalendo.
Hivyo tunampomkumbuka hayati Magufuli tuyatafakari haya pia.
View attachment 2936876
Huyu nae shida alitaka kufanya kama vile nchi ni mali yafamilia yake period,Leo tarehe 17/03 ni siku ambayo hayati JPM alitutoka 2021.
Katika pitapita leo nimekutana na kijana mmoja kuniambia sisi ambao hatuna akili na sio wazalendo ambao wengi wetu tulikosa virutubisho utotoni na kupata udumavu hatuoni mchango wa hayati Magufuli.
Hiyo inapelekea kumsema vibaya na kutoona mazuri yake kipindi cha uhai wake lakini wao wenye akili na uzalendo wanamkumbuka sana.
Lakini pia wengi wetu hatuna uzalendo.
Hivyo tunampomkumbuka hayati Magufuli tuyatafakari haya pia.
View attachment 2936876