Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili zako kabisa unaamini JK ndio alimchagua JPM!Huyo shetani labda we na mkeo ndiyo mnamhitaji, ila mnaweza kumfuata aliko sahivi. Mtu mshamba mbaguzi km yule never never never again. Haitakaa irudie tena, ht JK anajutia uamuzi wake wakati ule
Sisi wengine tunampenda sanaHuyo shetani labda we na mkeo ndiyo mnamhitaji, ila mnaweza kumfuata aliko sahivi. Mtu mshamba mbaguzi km yule never never never again. Haitakaa irudie tena, ht JK anajutia uamuzi wake wakati ule
HakikaWote wasiompenda JPM wanatakiwa kulishwa wali wenye virutubisho.
Ndio shabiki wa kwanza wa LFC kuona ni kilazaPelekeni upuuzi huko. Raisi wa hovyo kuwai kutokea
Tuliza papa hilo ww livakideriPelekeni upuuzi huko. Raisi wa hovyo kuwai kutokea
Hakuna Nchi duniani iliyowahi endelea sababu ya kuwa na DemokrasiaMTU muoga hafai kuwa rais wa nchi yeyote kuiba KURA ilimshushia Sana heshima 2020.
Kweli mkuu kipindi cha john nchi yetu ilikua donor country kufumba na kufumbua tunapokea mchele wa mchongo.Wote wasiompenda JPM wanatakiwa kulishwa wali wenye virutubisho.
Sisi tunamkumbuka nyie vyeti feki hamuwezi ona mchango wowoteMkumbuke wewe na mme wako sisi hatuwezi kumkumbuka kiongozi katili na muuaji kama Magufuli,aendelee kuingia huko alipo motoni, amina
HakikaAlikuwa mzalendo mwenye kuifikiria nchi yake View attachment 2936999