Wenye akili timamu tujadiri hili, yanayoendea simba na yanga ni utani au chuki?

Wenye akili timamu tujadiri hili, yanayoendea simba na yanga ni utani au chuki?

Utani wa simba na yanga ulijengwa kwenye misingi ya ushindani toka huko nyuma hasa uwezo wa uwanjani.

Leo utani umetoka kwenye misingi yake badala yake imekuwa mashambulizi ya mtu na mtu au kundi na mtu.
Imefika mahali chuki imekuwa kubwa hata huku mitaani.

Imefika mahali timu fulani ikikutwa na kadhia fulani au kiongozi wa timu fulani,watu wanatukanana hovyo.
Vijana wanawatukana wazee utadhani kwao hakuna wazee.

HALI HII IKIACHWA IENDELEE HUKO MBELE ITAKUWA NA MADHARA MAKUBWA KWA TAIFA.
Leo hii Haji Manara anatukanwa pande zote,mitandaoni mpk mitaani.
Je huu ni utani?

Tunajua tff imeoza haitamaniki na ndiyo chanzo cha matatizo ya mpira wetu,haiwezi kukemea timu yoyote.

JE WIZARA YENYE DHAMANA NA SOKA LETU HAIONI HAYA?

weusi wenzetu huko ulaya wakiitwa nyani sisi tunalalamika,lakini Mara kadhaa tumeona mamlaka zao zikitoa adhabu kwa timu husika ili mashabiki zao wasiendelee kubagua rangi za binaadam wenzao.

Sakata la manara kufungia,anakula matusi ya nguoni,ana baguliwa na kuitwa majina mengi mabaya kutokana na ulemavu wake,je huu ni utani wa mpira?

Serikali ipo tu!
Moja ya sheria za jamii forum ni kutomshambulia mtu bali kumjibu hoja.

LEO WAPENZI WA SIMBA WANAMKASHIFU HAJI NA KUMTUSI VIBAYA VIBAYA, MAADIMIN MPO KIMYA TU WALA HAMCHUKUI HATUA!!!!

Mfano huyu gentermycine,kwa siku anaanzisha nyuzi nyingi za kumkashifu na kumtusi Haji,lakini kesho na kesho kutwa utamkuta yupo tu humu anatembea na nyuzi zake.
MAADIMIN
Mmelala,macho hayaoni,fahamu hazifanyi kazi au?
Mpk leo hakuna tusi linalothibitishwa waziwazi kuwa Haji kamtukana Karia.

Wasemaji wanamung'unya maneno tu,wanashindwa kuyakaza,lakini wanasimba hawaoni haya wanamchafua haji,kisa alitoka kwao.
HUU NDIYO MPIRA WETU ULIPOFIKIA!!

Haji anafamilia na wazazi pia,mmejiuliza wanajisikiaje mnapomkashifu kwa kumwita sokwe mwekundu? Admin mnawaacha tu! Serikali inaacha tu!
wenye akili hatushabikii hizo timu mkuu
 
Mkuu umesema hakuna maneno yaliyothibitika kuwa alimtukana Raisi wa TFF Uko serious???? Hivi " unanifatilia Sana wewe leo ni Mara ya tatu sikuogopi Na huna Cha kunifanyia naweza kukufanya kitu chochote Na Wala huna Cha kunifanya " mwisho wa nukuu.

Mkuu hayo tu amemtishia Hilo ni jinai ilitakiwa aende polisi pengne hizo siku mbili Raisi wa TFF angezulika au kupiga hata Na vibaka au majambazi ni Nani angekuwa suspect namba moja? Jibu ni manara.

Kingne Kama Hana hatia Na hakuwa ametenda kosa ni kwa Nini aliomba msamaha??
Hawa utopolooo hawawezi kukuelewaaa kamweeeh. Tuwapuuze tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba nikujibu kistaarabu maana Leo umejitendea haki kama binadamu. Mleta mada hoja yake kubwa ni mashambulizi yanayohusiama na Hali ya kimaumbile ya Manara. Kitendo cha Manara binafsi huko nyuma kuwahi kutumia kauli za ovyo dhidi ya watu wengine hakuhalalishi watu wengine kumkashifu kilema chake. Wewe sijakusikia ukimuita majina ya kudhalilisha ambayo naogopa hata kuyarudia, lakini wapo mashabiki wa Simba humu kazi Yao ni hiyo na wewe unawajua. Hakuna sababu ya kudhalilisha watu kimaumbile Kwa sababu ya utani wa soka. Hata Haji alipokuwa anatoa maneno ya ovyo Wenye busara tulikemea lakini akaungwa mkono na kundi linaloshabikia ujinga ilimradi anayesema Yuko upande wao. Sisi tusio na upande tunakwazika na maneno ya ovyo yanayodhalilisha ubinadamu na tunawaomba Mods wachukue hatua Kali.
La pili umeongelea adhabu za TFF dhidi ya Mwandishi na pia kuna mdau ameongea kuhusu kocha wa Mbeya Kwanza. Mimi ni miongoni mwa watu wa awali kuona kichaa hicho cha adhabu na kukemea. Kosa la Mwandishi lilikuwa na ukubwa gani wa kufungiwa miaka 5 na Kocha akafhngiwa miaka 5 utadhani wamefanya kosa la Mauaji bila kukusudia? Hao wanasheria waliojazana kwenye Kamati ya Maadili hawaoni nchi nyingine za Ulaya zinavyoshughulika na nodhamu ya watu wapo michezoni. Hivi Morino angekuwa Kocha wa Biashara si angeshafungiwa maisha Kwa makosa yake ya mara Kwa mara?
Makosa ya kwenye michezo ni ya kawaida Sana na hayana madhara Makubwa maana mengi yanasababishwa na mihemko ya matokeo ambayo huisha baada ya watu kukubali kupokea matokeo.
Watu wa Usalama barabarani waliona vyanzo vya ajali mara nyingine ni out of control ya ubinadamu wakaweka adhabu kulingana na ubinadamu isipokuwa uzembe unapotawala, lakini Leo soka imewekewa adhabu ya kifo. Kocha anayefundisha kuinua vipaji anafungiwa kutojihusisha na soka miaka 5 bila kujali gharama za kumkosa na kukosa utaalamu wake.
Ifike mahali tukatae adhabu za kikandamizaji ambazo hazina manufaa Kwa soka letu.
Takadini ndo bingwa wa kukashifu na kuchamba wenzie madhaifu na mapungufu yao, ila akisemwa yeye watu mnaibuka ooooh vile na hivi, kwan Albino Dunia nzima yuko yeye pekee ake???

Atupisheee kuleeeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akuna mahali Haji alikaa pakawa salama tangia akiwa madrasa kwa maalim Abasy,Simba mpaka alipokua CCM na sasa kakiwasha kwenye soka la bongo na bado atakiwasha zaidi ni mtu wa fitna na maneno ya uzushi na uongo.
 
we mwenyewe nawe ndio wale wale huna lolote ungekuwa na busara usingemtaja Gentamycin kama umemtolea mfano ungatafuta wote wenye maudhui kama yake mfano Demigod yeye kila siku maneno ya dharau kwa Simba hata juzi anasema goli la sako Simba wamenunua huyu mbona hujamtaja humu Jamii forum anavyoichafua Simba au hujamuona au na ww unachuki na Gentamycin?
Ili ungekuwa fair ungewataja wote wanaoleta kuchafuana humu lkn ukimtaja mtu mmoja peke yake na wengine wapo hujatendea haki jukwaa nawe tunakuweka katika kundi hilo la ushabiki maandazi
Unamuonea bure mleta mada.Yeye peke yake hawezi kuwajua wote wanaopost upuuzi,yeye kamtaja Gentamycene,wewe taja mwingine na kile yule ataje aliyeona .Hapo tatizo litaisha.Kuna watu tuliwambia mapema kwamba Haji anakosea wakapuuza kwakuwa alikuwa upande wao Leo ndo wamekwazika na wanamuombea kila janga Haji.Hata huyu Ahmed Ally naona naye anatoka nje ya mstari,inafaa mtu asifie timu yake bila kubeza nyingine halafu tukutane uwanjani tupeane mkono tushindane.Kwa swala la Haji na Karia haki haijatendeka.Haji kama kweli alikosea angeadhibiwa kulingana na kosa lake,kwa kosa lile na adhabu ile,je angerusha ngumi ingekuwaje?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Huyo mzungu pori ( kitimoto) ndo analeta fujo kwenye michezo,ye ni kejeli ,uhasama mda wote.
 
Msome hapa shafii dauda

Kuna vitu havipo sawa kwenye mpira kisa Usimba na Uyanga, kuna muda tunataka kubadili nyeupe kuwa nyeusi kisa Usimba na Uyanga, this is not fair.

Nalitazama sakata la Haji Manara na hukumu ya miaka miwili namna watu wengi wanavyopinga hukumu na kuipa presha kubwa sana TFF, hiyo haipo sawa.

Mlikuwa wapi wakati Mbwana Makata anapigwa miaka mitano, Lwitiko wa Mbeya anachukua miaka 10, kuna yule Kiongozi wa Biashara United kafungiwa maisha na hata Mimi nimepigwa miaka mitano.

Haji sio exceptional ni Mwanafamilia ya mpira kama ilivyo kwa wengine, anapopewa hukumu kwa mujibu wa kanuni haipaswi kuonekana ameonewa, kumbuka hata Mimi nilifungiwa kisa tu MAKALA tena ya mtandaoni, why not Haji dhidi ya Rais wa TFF?

Tunaupa taswira gani mpira wetu? Tunamaanisha kosa likifanywa na vigogo wa Kariakoo it means linapaswa kufumbiwa macho? Jibu ni HAPANA, binafsi ni muumini wa utawala wa sheria.

Kila kitu kipo wazi sana, kama Haji hajaridhishwa na hukumu anapaswa kukata rufaa, ni haki yake! Sioni mantiki ya press na kusigana bila sababu, ni kuonesha mnataka kuwa juu ya mfumo.

Sioni sababu ya mvutano, Haji na Yanga wana vitu viwili tu vya kufanya kwasasa, kukata rufaa kama hawajaridhika au kukaa kimya ili Haji atumikie adhabu yake, nje na hapo ni kuunajisi mpira wa miguu na kupoteza sifa nzuri tunayoanza kuijenga

Nawaelewa nyote kuwa mnaamini kwenye haki na sheria, lakini kuna utaratibu wake, napenda sana kumuona Ndugu yangu Haji kwenye mpira ila kuna utaratibu wake nae anafahamu, basi muufuate

Tunapocodify na kuweka mifumo ituongoze ni kwakuwa tunafahamu sie ni Binadamu na huwa tunakosea, hatuwezi kwenda bila mfumo na sio kwa ubaya, inapokuja sheria haipaswi kuwa Simba wala Yanga bali SHERIA

DIGALA
Namna ya kifo cha wengi ni harusi.Unanifatafata Sana,sikuogopi huna cha kunifanya ,naweza kukufanya lolote.Je hii katika SOKA ina hatari gani? Kupiga kampeni dhidi ya Karia akaondoka tff ina ubaya gani? Kama Haji alimaanisha kugombea na kumshinda Karia, Ina ubaya gani? Kama ilitafsiriwa kijinai,je,kumfungia Haji ndo Karia atakuwa salama? Kama vipi liende kwenye mahakama za kiraia kama lile Barbara.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Unamuonea bure mleta mada.Yeye peke yake hawezi kuwajua wote wanaopost upuuzi,yeye kamtaja Gentamycene,wewe taja mwingine na kile yule ataje aliyeona .Hapo tatizo litaisha.Kuna watu tuliwambia mapema kwamba Haji anakosea wakapuuza kwakuwa alikuwa upande wao Leo ndo wamekwazika na wanamuombea kila janga Haji.Hata huyu Ahmed Ally naona naye anatoka nje ya mstari,inafaa mtu asifie timu yake bila kubeza nyingine halafu tukutane uwanjani tupeane mkono tushindane.Kwa swala la Haji na Karia haki haijatendeka.Haji kama kweli alikosea angeadhibiwa kulingana na kosa lake,kwa kosa lile na adhabu ile,je angerusha ngumi ingekuwaje?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Hebu tuambie wewe hiyo adhabu ya haki unayotaka wewe kulingana na kosa lake.
 
Akuna mahali Haji alikaa pakawa salama tangia akiwa madrasa kwa maalim Abasy,Simba mpaka alipokua CCM na sasa kakiwasha kwenye soka la bongo na bado atakiwasha zaidi ni mtu wa fitna na maneno ya uzushi na uongo.
Kwan unadhani hawajui?? Wanajua sanaa wanajitoa ufahamuuu.
 
Utani wa simba na yanga ulijengwa kwenye misingi ya ushindani toka huko nyuma hasa uwezo wa uwanjani.

Leo utani umetoka kwenye misingi yake badala yake imekuwa mashambulizi ya mtu na mtu au kundi na mtu.
Imefika mahali chuki imekuwa kubwa hata huku mitaani.

Imefika mahali timu fulani ikikutwa na kadhia fulani au kiongozi wa timu fulani,watu wanatukanana hovyo.
Vijana wanawatukana wazee utadhani kwao hakuna wazee.

HALI HII IKIACHWA IENDELEE HUKO MBELE ITAKUWA NA MADHARA MAKUBWA KWA TAIFA.
Leo hii Haji Manara anatukanwa pande zote,mitandaoni mpk mitaani.
Je huu ni utani?

Tunajua tff imeoza haitamaniki na ndiyo chanzo cha matatizo ya mpira wetu,haiwezi kukemea timu yoyote.

JE WIZARA YENYE DHAMANA NA SOKA LETU HAIONI HAYA?

weusi wenzetu huko ulaya wakiitwa nyani sisi tunalalamika,lakini Mara kadhaa tumeona mamlaka zao zikitoa adhabu kwa timu husika ili mashabiki zao wasiendelee kubagua rangi za binaadam wenzao.

Sakata la manara kufungia,anakula matusi ya nguoni,ana baguliwa na kuitwa majina mengi mabaya kutokana na ulemavu wake,je huu ni utani wa mpira?

Serikali ipo tu!
Moja ya sheria za jamii forum ni kutomshambulia mtu bali kumjibu hoja.

LEO WAPENZI WA SIMBA WANAMKASHIFU HAJI NA KUMTUSI VIBAYA VIBAYA, MAADIMIN MPO KIMYA TU WALA HAMCHUKUI HATUA!!!!

Mfano huyu gentermycine,kwa siku anaanzisha nyuzi nyingi za kumkashifu na kumtusi Haji,lakini kesho na kesho kutwa utamkuta yupo tu humu anatembea na nyuzi zake.
MAADIMIN
Mmelala,macho hayaoni,fahamu hazifanyi kazi au?
Mpk leo hakuna tusi linalothibitishwa waziwazi kuwa Haji kamtukana Karia.

Wasemaji wanamung'unya maneno tu,wanashindwa kuyakaza,lakini wanasimba hawaoni haya wanamchafua haji,kisa alitoka kwao.
HUU NDIYO MPIRA WETU ULIPOFIKIA!!

Haji anafamilia na wazazi pia,mmejiuliza wanajisikiaje mnapomkashifu kwa kumwita sokwe mwekundu? Admin mnawaacha tu! Serikali inaacha tu!
Wewe Manara ndio chanzo cha kupandikiza chuki kati ya timu hizi mbili.

Bahati mbaya huko ulikohamia kumejaa mashabiki wasio na akili na kazi yao kudhani wanaonewa kila siku.

Sakho kupata tuzo ya goli bora la CAF tayari mmeshaanza kulalamika eti mayele ana goli kama hilo!

Manara unatafuta huruma lakini kumbuka ulianza upuuzi huu.Umekuwa ukimtukana Mo kwa kutumwa na matajiri wako,ila Mo hajakujibu.
Sisi mashabiki tunachukia sana huu ushenzi wa kumwandama mtu ambaye hata hakujibu.Sasa unapoona watu wanakushambulia ujue mbegu uliipanda mwenyewe
 
Utani wa simba na yanga ulijengwa kwenye misingi ya ushindani toka huko nyuma hasa uwezo wa uwanjani.

Leo utani umetoka kwenye misingi yake badala yake imekuwa mashambulizi ya mtu na mtu au kundi na mtu.
Imefika mahali chuki imekuwa kubwa hata huku mitaani.

Imefika mahali timu fulani ikikutwa na kadhia fulani au kiongozi wa timu fulani,watu wanatukanana hovyo.
Vijana wanawatukana wazee utadhani kwao hakuna wazee.

HALI HII IKIACHWA IENDELEE HUKO MBELE ITAKUWA NA MADHARA MAKUBWA KWA TAIFA.
Leo hii Haji Manara anatukanwa pande zote,mitandaoni mpk mitaani.
Je huu ni utani?

Tunajua tff imeoza haitamaniki na ndiyo chanzo cha matatizo ya mpira wetu,haiwezi kukemea timu yoyote.

JE WIZARA YENYE DHAMANA NA SOKA LETU HAIONI HAYA?

weusi wenzetu huko ulaya wakiitwa nyani sisi tunalalamika,lakini Mara kadhaa tumeona mamlaka zao zikitoa adhabu kwa timu husika ili mashabiki zao wasiendelee kubagua rangi za binaadam wenzao.

Sakata la manara kufungia,anakula matusi ya nguoni,ana baguliwa na kuitwa majina mengi mabaya kutokana na ulemavu wake,je huu ni utani wa mpira?

Serikali ipo tu!
Moja ya sheria za jamii forum ni kutomshambulia mtu bali kumjibu hoja.

LEO WAPENZI WA SIMBA WANAMKASHIFU HAJI NA KUMTUSI VIBAYA VIBAYA, MAADIMIN MPO KIMYA TU WALA HAMCHUKUI HATUA!!!!

Mfano huyu gentermycine,kwa siku anaanzisha nyuzi nyingi za kumkashifu na kumtusi Haji,lakini kesho na kesho kutwa utamkuta yupo tu humu anatembea na nyuzi zake.
MAADIMIN
Mmelala,macho hayaoni,fahamu hazifanyi kazi au?
Mpk leo hakuna tusi linalothibitishwa waziwazi kuwa Haji kamtukana Karia.

Wasemaji wanamung'unya maneno tu,wanashindwa kuyakaza,lakini wanasimba hawaoni haya wanamchafua haji,kisa alitoka kwao.
HUU NDIYO MPIRA WETU ULIPOFIKIA!!

Haji anafamilia na wazazi pia,mmejiuliza wanajisikiaje mnapomkashifu kwa kumwita sokwe mwekundu? Admin mnawaacha tu! Serikali inaacha tu!
huyo zer'uze'ru akapimwe akili,haiwezekani kila siku niyeye tu anagombana na watu,
Tatizo ana kibri na ujuaji mwingi
 
Usipate presha Bado wapo kwenye utani fikra zako TU ndio tatizo .. ule Bado utani sema wa level ya juu kidogo.
#UTANI UENDELEE😂
 
Utani wa simba na yanga ulijengwa kwenye misingi ya ushindani toka huko nyuma hasa uwezo wa uwanjani.

Leo utani umetoka kwenye misingi yake badala yake imekuwa mashambulizi ya mtu na mtu au kundi na mtu.
Imefika mahali chuki imekuwa kubwa hata huku mitaani.

Imefika mahali timu fulani ikikutwa na kadhia fulani au kiongozi wa timu fulani,watu wanatukanana hovyo.
Vijana wanawatukana wazee utadhani kwao hakuna wazee.

HALI HII IKIACHWA IENDELEE HUKO MBELE ITAKUWA NA MADHARA MAKUBWA KWA TAIFA.
Leo hii Haji Manara anatukanwa pande zote,mitandaoni mpk mitaani.
Je huu ni utani?

Tunajua tff imeoza haitamaniki na ndiyo chanzo cha matatizo ya mpira wetu,haiwezi kukemea timu yoyote.

JE WIZARA YENYE DHAMANA NA SOKA LETU HAIONI HAYA?

weusi wenzetu huko ulaya wakiitwa nyani sisi tunalalamika,lakini Mara kadhaa tumeona mamlaka zao zikitoa adhabu kwa timu husika ili mashabiki zao wasiendelee kubagua rangi za binaadam wenzao.

Sakata la manara kufungia,anakula matusi ya nguoni,ana baguliwa na kuitwa majina mengi mabaya kutokana na ulemavu wake,je huu ni utani wa mpira?

Serikali ipo tu!
Moja ya sheria za jamii forum ni kutomshambulia mtu bali kumjibu hoja.

LEO WAPENZI WA SIMBA WANAMKASHIFU HAJI NA KUMTUSI VIBAYA VIBAYA, MAADIMIN MPO KIMYA TU WALA HAMCHUKUI HATUA!!!!

Mfano huyu gentermycine,kwa siku anaanzisha nyuzi nyingi za kumkashifu na kumtusi Haji,lakini kesho na kesho kutwa utamkuta yupo tu humu anatembea na nyuzi zake.
MAADIMIN
Mmelala,macho hayaoni,fahamu hazifanyi kazi au?
Mpk leo hakuna tusi linalothibitishwa waziwazi kuwa Haji kamtukana Karia.

Wasemaji wanamung'unya maneno tu,wanashindwa kuyakaza,lakini wanasimba hawaoni haya wanamchafua haji,kisa alitoka kwao.
HUU NDIYO MPIRA WETU ULIPOFIKIA!!

Haji anafamilia na wazazi pia,mmejiuliza wanajisikiaje mnapomkashifu kwa kumwita sokwe mwekundu? Admin mnawaacha tu! Serikali inaacha tu!
Manara alipohama simba kwa kashfa na dharau hukuanzisha uzi humu. Leo panauma siyo.

Ndo hivo, endeleeni kumshangilia manara wenu.
 
Back
Top Bottom