Wenye akili tu ndio tumeelewa ni kwanini Rais Samia kapandisha dau kwa kila goli atalipa milioni kumi

Mpira wa Tanzania umepaa kwenye awamu ya sita. Uwekezaji bora na serikali kuimarisha juhudi za kuimarisha soka nchini zinazaa matunda.
 


5
 
Mtafute NALIA NGWENA msaidiane kulia ngwena ngwena!! Simba imejitambulisha dunia ni kuwa ni timu bora sana!! Imetawala na kumiliki zaidi mpira vipindi vyote viwili!! ulie tu ngwena ngwena!!
 
Sina shaka kuwa ww Ni moja ya memba wenye akili ndogo/finyu mno.

Nimeendelea kujiridhisha!
 
 
Hela za kuchezea zipo za kujenga shule vijijini hakuna.
Hio ten unanunua bati ngapi kuezeeka shule kuliko kupoteza pasipo tija huko
 
Hela za kuchezea zipo za kujenga reli na kununua mabe hewa mapya Hakuna!! Tuna Rais wa ajabu sana.
 
Kiko wapi,5G ziko wapi,,,πŸ˜‚πŸ˜…
Uoni aibu Utopolo,,,πŸ˜‚πŸ˜…
 
Kiko wapi,5G ziko wapi,,,πŸ˜‚πŸ˜…
Uoni aibu Utopolo,,,πŸ˜‚πŸ˜…
Refa kaibeba Simba ( penati aliyopeta) na uchawi live maana Al Ahly wamekosa goli mbili za wazi , ukijumlisha na goli 2 walizofunga unapata 5G!

Kelele hamna kabisa mji uko kimyaaaaaa! Mlima ni mrefu magoli mawili ya ugenini ya Ahly ni mtaji mkubwa kule Misri Simba itapigwa kama Ngoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…