GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Endeleeni tu Kupuuza Maandiko yetu hapa JamiiForums na Kuupuza huu Mtandao ila kama kuna Mtandao nyie mlioko Serikalini na huko sehemu Nyeti za Umedani (JWTZ) na Unjaguni (TISS) mnatakiwa muwe mnauheshimu na Kuufuatilia ili kuwa Bora katika Utendaji wenu basi ni huu wa JamiiForums.
GENTAMYCINE pamoja na Members wachache hapa tulijitoa Mhanga kuanzisha Mada za Kupinga Ujenzi wa hovyo na wa Kienyeji wa Fremu za Biashara katika Fensi za Kambi yenye Heshima Kimedani nchini ya Lugalo na Kufafanua kuwa Kiusalama na Kiulinzi ilikuwa ni Hatari na Kosa Kubwa tukapuuzwa hadi Kudhihakiwa ila nashukuru kuwa kumbe hata Mama na Boss wao wamechukizwa na Kilichofanyika.
Za ndani kabisa nilizozipata kutoka kwa Watu wa karibu Unjaguni na Umedani zinasema kwamba hizo Fremu zitabakia ila mita chache (kwa nyu.ma) kutajengwa Ukuta mkubwa ili Kuzitenganisha ili kuendelea Kuilinda Kambi hiyo tofauti na ilivyo sasa ambapo hata Mimi GENTAMYCINE naweza kuingia muda wowote kwa kupitia ilipo Grocery mpya ya Giraffe iliyopo katika Fremu hizo hizo na nikajua nini kinaendelea kwa ndani na kutoka nje bila tatizo lolote.
Vile vile nimetaarifiwa kuwa baada ya Hayati kuruhusu huo Ujenzi ili wana Medani na Kambi zao wawe Wanajipatia Vipato aliyeko sasa (Mama) ameamua Kuusitisha huo mpango kwani ameona utakuwa ni Hatari na Kuwafanya Wananedani Kuwekeza Akili zao katika Mitonyo (Fedha) badala ya 24/7 kuwaza jinsi ya Kupambana na akina M23 na Wachokozi wengine wa Ardhi yake.
Hivyo basi Mama ameamua kuwa atarudisha zile Ruzuku zao za kila Kambi (Kikosi) kama ilivyokuwa huko nyuma wakati wa Kipindi cha Mstaafu wa Pwani tofauti na ambavyo Hayati aliamua na kufanya kwani ni Hatari na huenda alishauriwa vibaya nae akaingia Kichwa Kichwa.
Haya wale mliotutukana na Kutuona hatuna Akili njooni mtuombe Msamaha kwani Sisi tuliolikemea na Kupinga leo tunaenda kuwa Washindi kwani tuliamua kutumia Uzalendo wetu kwa Tanzania na Wananedani wetu kwa Kupinga Ujenzi wa Fremu za Kambini Lugalo (eneo la Kawe) hasa kwa sababu za Kimkakati (Ulinzi na Usalama) kitu ambacho kutokana na Uvivu wenu wa Akili na kwa kutokuwa Security Concious Kwenu wala hamkuliona lile ambalo akina GENTAMYCINE wenye Maono ya mbali tuliliona.
Mwenye hiyo Giraffe Grocery hapo katika hizo Fremu hongera kwa kutuwekea Mziki mkubwa, Vibinti Vifidodido (Vyembamba kama Fito) na Wines za uhakika, ila jitahidi katika hiyo Flash yako uwe na Nyimbo nyingi za Bendi ya Wenge Musica BGBG yake JB Mpiana, Koffi Olomide na Werrason kwani naona una Nyimbo nyingi za Vijana wa sasa na huwa hazichangamshi pale Vodka na Smart Gin ikiwa inashuka Makooni mwetu tayari kuanza Kutulewesha ili tutongoze hao Wahudumu wako wa Kike hapo sawa?
GENTAMYCINE pamoja na Members wachache hapa tulijitoa Mhanga kuanzisha Mada za Kupinga Ujenzi wa hovyo na wa Kienyeji wa Fremu za Biashara katika Fensi za Kambi yenye Heshima Kimedani nchini ya Lugalo na Kufafanua kuwa Kiusalama na Kiulinzi ilikuwa ni Hatari na Kosa Kubwa tukapuuzwa hadi Kudhihakiwa ila nashukuru kuwa kumbe hata Mama na Boss wao wamechukizwa na Kilichofanyika.
Za ndani kabisa nilizozipata kutoka kwa Watu wa karibu Unjaguni na Umedani zinasema kwamba hizo Fremu zitabakia ila mita chache (kwa nyu.ma) kutajengwa Ukuta mkubwa ili Kuzitenganisha ili kuendelea Kuilinda Kambi hiyo tofauti na ilivyo sasa ambapo hata Mimi GENTAMYCINE naweza kuingia muda wowote kwa kupitia ilipo Grocery mpya ya Giraffe iliyopo katika Fremu hizo hizo na nikajua nini kinaendelea kwa ndani na kutoka nje bila tatizo lolote.
Vile vile nimetaarifiwa kuwa baada ya Hayati kuruhusu huo Ujenzi ili wana Medani na Kambi zao wawe Wanajipatia Vipato aliyeko sasa (Mama) ameamua Kuusitisha huo mpango kwani ameona utakuwa ni Hatari na Kuwafanya Wananedani Kuwekeza Akili zao katika Mitonyo (Fedha) badala ya 24/7 kuwaza jinsi ya Kupambana na akina M23 na Wachokozi wengine wa Ardhi yake.
Hivyo basi Mama ameamua kuwa atarudisha zile Ruzuku zao za kila Kambi (Kikosi) kama ilivyokuwa huko nyuma wakati wa Kipindi cha Mstaafu wa Pwani tofauti na ambavyo Hayati aliamua na kufanya kwani ni Hatari na huenda alishauriwa vibaya nae akaingia Kichwa Kichwa.
Haya wale mliotutukana na Kutuona hatuna Akili njooni mtuombe Msamaha kwani Sisi tuliolikemea na Kupinga leo tunaenda kuwa Washindi kwani tuliamua kutumia Uzalendo wetu kwa Tanzania na Wananedani wetu kwa Kupinga Ujenzi wa Fremu za Kambini Lugalo (eneo la Kawe) hasa kwa sababu za Kimkakati (Ulinzi na Usalama) kitu ambacho kutokana na Uvivu wenu wa Akili na kwa kutokuwa Security Concious Kwenu wala hamkuliona lile ambalo akina GENTAMYCINE wenye Maono ya mbali tuliliona.
Mwenye hiyo Giraffe Grocery hapo katika hizo Fremu hongera kwa kutuwekea Mziki mkubwa, Vibinti Vifidodido (Vyembamba kama Fito) na Wines za uhakika, ila jitahidi katika hiyo Flash yako uwe na Nyimbo nyingi za Bendi ya Wenge Musica BGBG yake JB Mpiana, Koffi Olomide na Werrason kwani naona una Nyimbo nyingi za Vijana wa sasa na huwa hazichangamshi pale Vodka na Smart Gin ikiwa inashuka Makooni mwetu tayari kuanza Kutulewesha ili tutongoze hao Wahudumu wako wa Kike hapo sawa?