Wenye akili tulipoona tu ndani ya Mbeya City FC kuna u-CCM na u-CHADEMA, tulijua itashuka tu Daraja

Wenye akili tulipoona tu ndani ya Mbeya City FC kuna u-CCM na u-CHADEMA, tulijua itashuka tu Daraja

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Huwezi kuwa na Timu halafu Asubuhi Spika wa Bunge anaenda na Kuwaambia Wamsikilize Yete huku akimbeza Mpinzani wake Sugu na Mbunge Mstaafu na mwenye Ushawishi Mbeya Mjini Sugu nae akienda anamkandia Mpinzani wake Spika wa Bunge na kuwataka Wamsikilize Yeye halafu hiyo Timu ikapata Mafanikio.

Binafsi kama GENTAMYCINE leo nimefurahi mno kwa Mbeya City FC kushuka Daraja kutokana na Upuuzi na Unafiki wao wa Kuikazia na Kuikamia Simba SC wakicheza nayo ila wakikutana / wakicheza na Yanga SC wanalegea na Kukubali Kufungwa nao Kiulaini kabisa.

Safi sana na Hongereni Mashujaa FC.
 
General mkunda ataweka pesa pale maana ni vijana wake wale, halafu mkuu wenu wa mkoa anahamasa sana na mkoa wake kajitoa sana
RC Kafanya kazi kubwa, anasitahili pongezi.

Ile mechi ya kwanza dhidi ya Mbeya city ilikuwa na hamasa kubwa sana toka kwake na viongozi wengine wa mkoa na JWT
 
RC Kafanya kazi kubwa, anasitahili pongezi.

Ile mechi ya kwanza dhidi ya Mbeya city ilikuwa na hamasa kubwa sana toka kwake na viongozi wengine wa mkoa na JWT

Halafu kwa hamasa zile wakiendelea watafika mbali maana walijaa hadi sokoine leo ikawa haiwezi kuwafunika
 
Huwezi kuwa na Timu halafu Asubuhi Spika wa Bunge anaenda na Kuwaambia Wamsikilize Yete huku akimbeza Mpinzani wake Sugu na Mbunge Mstaafu na mwenye...
Hao ndugu zangu wa Mbeya, waliyataka wenyewe! Ile mechi yao na Yanga, ndiyo iliyokuwa inawabakiza ligi kuu. Ni kichekesho mchezo muhimu kama ule, unaongoza 3:0 mpaka kipindi cha pili, mwishoni inakuwa 3:3.
 
Huwezi kuwa na Timu halafu Asubuhi Spika wa Bunge anaenda na Kuwaambia Wamsikilize Yete huku akimbeza Mpinzani wake Sugu na Mbunge Mstaafu na mwenye Ushawishi Mbeya Mjini Sugu nae akienda anamkandia Mpinzani wake Spika wa Bunge na kuwataka Wamsikilize Yeye halafu hiyo Timu ikapata Mafanikio.

Binafsi kama GENTAMYCINE leo nimefurahi mno kwa Mbeya City FC kushuka Daraja kutokana na Upuuzi na Unafiki wao wa Kuikazia na Kuikamia Simba SC wakicheza nayo ila wakikutana / wakicheza na Yanga SC wanalegea na Kukubali Kufungwa nao Kiulaini kabisa.

Safi sana na Hongereni Mashujaa FC.
Naunga mkono hoja
 
Hao ndugu zangu wa Mbeya, waliyataka wenyewe! Ile mechi yao na Yanga, ndiyo iliyokuwa inawabakiza ligi kuu. Ni kichekesho mchezo muhimu kama ule, unaongoza 3:0 mpaka kipindi cha pili, mwishoni inakuwa 3:3.
ungeingia na wewe ucheze,wakugongeemo
 
Mashujaa ni timu yangu pendwa tangu ikiwa inacheza ndondo mitaani.

Tutajitahidi tunahakikisha pale Lake Tanganyika tunavuna points za kutosha, ila huko kwingine lolote litukute.
Mkiweza kuepuka fitina za Yanga na Simba ,na fitina za kisiasa ,mtafanikiwa
 
  • Thanks
Reactions: K11
General mkunda ataweka pesa pale maana ni vijana wake wale, halafu mkuu wenu wa mkoa anahamasa sana na mkoa wake kajitoa sana
Waendeleze hiyo hamasa ,wasibweteke wala kuruhusu ,usimba na uyanga,wala siasa
 
Sidhani kama Uchama una athari sana.

Mama Fatma Karume
Mhe. George Mkuchika
Mhe. Dr. Mwigulu Nchemba
Mhe. Tarimba Abbas
Mhe. Anthony Mavunde

1. CCM - (Mke wa Rais Mstaafu)
2. CCM - (mbunge/waziri)
3. CCM - (mbunge/waziri)
4. CCM - (mbunge)
5. CCM - (mbunge/Naibu Waziri)

Wajumbe wa baraza la wadhamini Young Africans Sports Club
 
Back
Top Bottom