Wewe ni genius sana. Nimezungumzia uongozi wa kudumu CDM, ACT, NCCR, CUF - how come vyama vinavyotegemewa kuchukuwa dola viwe na hulka mbaya hivi!!!
Nikabaki independent!
Mimi siyo mwanachadema bwashee
Independent wapi kila siku kushambulia CHADEMA. Wewe ni CCM .
Ni kweli nilikuwa huko chadema, enzi zile chama kinafunction kama chama cha demokrasia na maendeleo. Niliondoka baada ya ule usaliti wa 2015, wakati chadema ilipojigeuza kuwa genge la wasaka tonge kama wale wengine.Si ulikuwa huko CHADEMA?
"Uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM", nimeishia hapa kusoma.Jf, members!
Salaam!
Nauliza iwapo watu wenye uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM iwapo wanaweza shangilia au kuwa wafuasi wa CDM, ACT, NCCR, au CUF. Nauliza hivi sbb hizi:-
(a). CDM - mwenyekiti wao kawa Mungu watu, tangia aingie madarakani ni miaka lukuki na wafuasi wako kimya kbs! Achilia mbali uelewa wao kuhusu wanawake wa vikoba, na bodaboda;
(a). ACT - chama chenye kiongozi wa chama asipenda kukosolewa na hakuna kifungu ktk katiba yao kinachoweza mwajibisha kiongozi;
(c). CUF an NCCR nikama ilivyoelezwa kwa CDM.
Sasa hivi kwa muktadha huu vyama vya upinzani vimeingia na kusajili ili viisaidie CCM au ili vipate kuongoza nchi!
Wafuasi zindukeni, ninyi ni binadamu si nyumbu.
Msakila Kabende
Kakonko
Hizi sampuli za wanachama wa CCMJf, members!
Salaam!
Nauliza iwapo watu wenye uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM iwapo wanaweza shangilia au kuwa wafuasi wa CDM, ACT, NCCR, au CUF. Nauliza hivi sbb hizi:-
(a). CDM - mwenyekiti wao kawa Mungu watu, tangia aingie madarakani ni miaka lukuki na wafuasi wako kimya kbs! Achilia mbali uelewa wao kuhusu wanawake wa vikoba, na bodaboda;
(a). ACT - chama chenye kiongozi wa chama asipenda kukosolewa na hakuna kifungu ktk katiba yao kinachoweza mwajibisha kiongozi;
(c). CUF an NCCR nikama ilivyoelezwa kwa CDM.
Sasa hivi kwa muktadha huu vyama vya upinzani vimeingia na kusajili ili viisaidie CCM au ili vipate kuongoza nchi!
Wafuasi zindukeni, ninyi ni binadamu si nyumbu.
Msakila Kabende
Kakonko
Nyumbu mamako [emoji304] weweWenye akili tulishajiondoa chadema, wakabaki nyumbu tu
🤣🤣🤣🤣🤣Mimi siyo mwanachadema bwashee
Good. Haya ndiyo majibu nayataka. Tukiyumbishwa na vihoja halafu tukakubali kuyumba hawa wachokozi watashindwa kuelewa tofauti ya ccm na chademaKila chama kina utaratibu wake. Mbona CCM Mwenyekiti hapingwi. Suala la Mbowe litafikia mwisho akistaafu mwaka huu.
ccm imejaa wapumbavu ndio maana report ya CAG ya ufisadi wenu imewashinda kuijadir mmebaki mnahaha kwa nyuz za kuokoteza.Jf, members!
Salaam!
Nauliza iwapo watu wenye uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM iwapo wanaweza shangilia au kuwa wafuasi wa CDM, ACT, NCCR, au CUF. Nauliza hivi sbb hizi:-
(a). CDM - mwenyekiti wao kawa Mungu watu, tangia aingie madarakani ni miaka lukuki na wafuasi wako kimya kbs! Achilia mbali uelewa wao kuhusu wanawake wa vikoba, na bodaboda;
(a). ACT - chama chenye kiongozi wa chama asipenda kukosolewa na hakuna kifungu ktk katiba yao kinachoweza mwajibisha kiongozi;
(c). CUF an NCCR nikama ilivyoelezwa kwa CDM.
Sasa hivi kwa muktadha huu vyama vya upinzani vimeingia na kusajili ili viisaidie CCM au ili vipate kuongoza nchi!
Wafuasi zindukeni, ninyi ni binadamu si nyumbu.
Msakila Kabende
Kakonko
Mabuti ya kijeshi uyaone mafupi mepesi/Jf, members!
Salaam!
Nauliza iwapo watu wenye uelewa wa hali ya juu kama wale wa CCM iwapo wanaweza shangilia au kuwa wafuasi wa CDM, ACT, NCCR, au CUF. Nauliza hivi sbb hizi:-
(a). CDM - mwenyekiti wao kawa Mungu watu, tangia aingie madarakani ni miaka lukuki na wafuasi wako kimya kbs! Achilia mbali uelewa wao kuhusu wanawake wa vikoba, na bodaboda;
(a). ACT - chama chenye kiongozi wa chama asipenda kukosolewa na hakuna kifungu ktk katiba yao kinachoweza mwajibisha kiongozi;
(c). CUF an NCCR nikama ilivyoelezwa kwa CDM.
Sasa hivi kwa muktadha huu vyama vya upinzani vimeingia na kusajili ili viisaidie CCM au ili vipate kuongoza nchi!
Wafuasi zindukeni, ninyi ni binadamu si nyumbu.
Msakila Kabende
Kakonko
Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa Chadema, na hili jambo haliwahusu nyie ccm, wala halina athari kwa maisha ya watanzania.Mleta mada kaongelea uenyekiti wa kudumu wa Mbowe chadema na nafasi ya kiongozi wa chama pale ACT.
Tuwe imara kupangua hoja tusipindepinde. Kwa kufanya hivyo titawavuta hata hawa wanaohoji.
Anayehoji asichukuliwe kuwa ni adui. Kwasabb akijibiwa vema anaweza kuwa mwanachama hapo kesho
Upo sahihiMtu yeyote anayejielewa hawezi kuwa mfuasi wa chama cha siasa. Labda tu awe anapata chochote kitu kupitia ufuasi huo, uongozi, posho nk. Zaidi ya hapo ni ufala.