GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
50,000 π π π π π inakuzuzua utakufa kibudu chali angu nimekaa ππππNimekereka mno Jioni hii baada ya kuingia Baa Moja na wakati Nakula Chakula changu kaja Mmachinga Mmoja na kunisogezea Usoni mwangu karibu na Mdomo Ndaba ( Kiatu ) ili Nikinunue na nilipomwangalia nikihisi labda Kakosea na ataniomba Radhi nikashangaa Kiatu kingine Kimeshadondoka katika Sahani yangu ya Ugali, Samaki na Mchicha.
Kilichofuatia baada ya hapo naomba niseme tu Samahani kwa Mwenyezi Mungu na nitajitahidi Alhamisi niende katika Kitubio cha Kanisa langu Katoliki Kutubu Dhambi hiyo, ila najua na hivi kwa sasa namiliki Mkanda Mweusi wa Combat Kung Fu atajifunza na atawasimulia Nduguze na Marafiki zake kama akizinduka.
Hahaha Kuna bar ambazo hao watu huwezi kuwaona ,kuna Wamasai wanakuwa kumi na wato wanauza bidhaa aina moja na wate wakunipitia la kukuliza kama unataka ,unamjibu wa kwanza kuwa huhitaji lakini anayefuata naye anakuuliza hivyo hivyo hadi wa mwisho na wanaweza kwenda na kurudi muda huohuo wakakuiliza tena mara ya piliNimekereka mno Jioni hii baada ya kuingia Baa Moja na wakati Nakula Chakula changu kaja Mmachinga Mmoja na kunisogezea Usoni mwangu karibu na Mdomo Ndaba ( Kiatu ) ili Nikinunue na nilipomwangalia nikihisi labda Kakosea na ataniomba Radhi nikashangaa Kiatu kingine Kimeshadondoka katika Sahani yangu ya Ugali, Samaki, Mchicha na Mchuzi Maji mwingi.
Kilichofuatia baada ya hapo naomba niseme tu Samahani kwa Mwenyezi Mungu na nitajitahidi Alhamisi niende katika Kitubio cha Kanisa langu Katoliki Kutubu Dhambi hiyo, ila najua na hivi kwa sasa namiliki Mkanda Mweusi wa Combat Kung Fu atajifunza na atawasimulia Nduguze na Marafiki zake kama akizinduka.
Wa Kufungia tu Mbuzi wangu Porini.πππππMkuu kumbe unamiliki mkanda
Na wewe upuuzi mwingine unajitakia mwenyewe.....yaani unamuacha mtu (kibaka) anakuja na viatu tena mtumba anakuwekea usoni huku unakula? Aisee bahati kama hii mimi nitaipata wapi jamani, fursa hii ya kuua, maana mtu anakuja kukutafuta sababu kwani kishajichokea maisha anataka kuuliwa eti wewe unamuangalia tu huku unakula samaki aliyejazwa mimaji. Wewe inabidi ukamatwe tu.Nimekereka mno Jioni hii baada ya kuingia Baa Moja na wakati Nakula Chakula changu kaja Mmachinga Mmoja na kunisogezea Usoni mwangu karibu na Mdomo Ndaba ( Kiatu ) ili Nikinunue na nilipomwangalia nikihisi labda Kakosea na ataniomba Radhi nikashangaa Kiatu kingine Kimeshadondoka katika Sahani yangu ya Ugali, Samaki, Mchicha na Mchuzi Maji mwingi.
Kilichofuatia baada ya hapo naomba niseme tu Samahani kwa Mwenyezi Mungu na nitajitahidi Alhamisi niende katika Kitubio cha Kanisa langu Katoliki Kutubu Dhambi hiyo, ila najua na hivi kwa sasa namiliki Mkanda Mweusi wa Combat Kung Fu atajifunza na atawasimulia Nduguze na Marafiki zake kama akizinduka.