Wenye CAF CL tittle 5 wamekuja kujifunza. Unahisi hawaijui historia ya mkufunzi?

Wenye CAF CL tittle 5 wamekuja kujifunza. Unahisi hawaijui historia ya mkufunzi?

Southern Highland

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
14,938
Reaction score
25,405
Maisha yana njia tofauti kutufunza kuwa wapole na subira hasa pale tunapojiona tumefanikiwa. Watu wanashinda kujisifu robo fainali 5 hana cha kujifunza kwa mwenye robo fainali moja.

Haya mwenye makombe yake matano cha CAF CL amekuja kujifunza namna ya kuendesha timu ya mpira kwa ambaye hana hata ilo kombe.

Haina maana haya ni mafanikio ila tushirikishe bongo viongozi wetu wanapotaka kutuaminisha kuwa runners up ni mafanikio ya kukufanya utambe kila kona. Robo fainali sio mafanikio.

SOMA
- TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga
 
Muiite ile mashine ya kuongea ije kujifua huku

Screenshot_20240515_192921_Instagram.jpg
Screenshot_20240515_192943_Instagram.jpg
Screenshot_20240515_193009_Instagram.jpg
Screenshot_20240515_193142_Instagram.jpg
Screenshot_20240515_192958_Instagram.jpg
 
Maisha yana njia tofauti kutufunza kuwa wapole na subira hasa pale tunapojiona tumefanikiwa. Watu wanashinda kujisifu robo fainali 5 hana cha kujifunza kwa mwenye robo fainali moja....

Usajili wa wanachama (fans engagement), kushirikisha taasisi za fedha i.e Banks kwenye biashara ya football, kushirikisha kampuni za Bima, kushirikisha shirika la ndege la Taifa etc, ni miongoni mwa masuala yanayovutia watu wa mpira kujifunza.

Football beyond football ni jambo gumu kulifanya kwa vitendo. Yanga walijifunza baadhi ya haya mambo huko Hispania. TP Mazembe wameona sio vibaya kuwauliza Yanga wamewezaje....

Bila shaka kuna mengi yasiyosemwa ambayo Yanga inajifunza kwa TP Mazembe.
 
Usajili wa wanachama (fans engagement), kushirikisha taasisi za fedha i.e Banks kwenye biashara ya football, kushirikisha kampuni za Bima, kushirikisha shirika la ndege la Taifa etc...
Yapo mengi yasiyosemwa lakini kujifunza always kupo. Lakini kukiri hadharani huwazi kujifunza kwa fulani kwa sababu fulani fulani ni uzwazwa
 
Makolo shida sana. Yaani bila haya wanasema TP wamekuja kumfata Aziz KI na sio kujifunza kwa Yanga. Ujinga ni kama kipaji unajua.

TP wana akili, wanajua mtu unaweza kujifunza kitu hata kwa junior as long as huyo junior anafanya vizuri na unaona kabisa kuna vitu amemuzidi.

Mioyoni mwa koloz wanaamini kabisa kwa miaka 3 hii Simba ni wazuri kuliko Yanga ila tu

1. Yanga anapendelewa
2. Kidogo viongozi wao sio
3. Yanga anatumia bahasha

Hawataki kabisa kukubali kuwa mafaniko ya timu huwa ni circular motion, timu hupanda na kushuka. Timu ikishuka ni lazima ku recall na kujifunza. Kwa sasa nyie Simba kubalini mpo kiwango kibovu, mki admit hili itawapa nafasi ku overhaul mikakati yenu kenge nyinyi. Sio kila kitu mnakitafutia sababu tu. Viongozi wenu wana take advantage ya akili zenu mbovu.
 
Makolo shida sana. Yaani bila haya wanasema TP wamekuja kumfata Aziz KI na sio kujifunza kwa Yanga. Ujinga ni kama kipaji unajua.

TP wana akili, wanajua mtu unaweza kujifunza kitu hata kwa junior as long as huyo junior anafanya vizuri na unaona kabisa kuna vitu amemuzidi.

Mioyoni mwa koloz wanaamini kabisa kwa miaka 3 hii Simba ni wazuri kuliko Yanga ila tu

1. Yanga anapendelewa
2. Kidogo viongozi wao sio
3. Yanga anatumia bahasha

Hawataki kabisa kukubali kuwa mafaniko ya timu huwa ni circular motion, timu hupanda na kushuka. Timu ikishuka ni lazima ku recall na kujifunza. Kwa sasa nyie Simba kubalini mpo kiwango kibovu, mki admit hili itawapa nafasi ku overhaul mikakati yenu kenge nyinyi. Sio kila kitu mnakitafutia sababu tu. Viongozi wenu wana take advantage ya akili zenu mbovu.
Tuwe makini na viongozi wetu kwa kujaribu kutuaminisha mambo ambayo siyo
 
Nimejikuta nmecheka kwa sauti yani TP ya Congo Imekuja kujifunzaa kwa yangaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Maisha yana njia tofauti kutufunza kuwa wapole na subira hasa pale tunapojiona tumefanikiwa. Watu wanashinda kujisifu robo fainali 5 hana cha kujifunza kwa mwenye robo fainali moja.

Haya mwenye makombe yake matano cha CAF CL amekuja kujifunza namna ya kuendesha timu ya mpira kwa ambaye hana hata ilo kombe.

Haina maana haya ni mafanikio ila tushirikishe bongo viongozi wetu wanapotaka kutuaminisha kuwa runners up ni mafanikio ya kukufanya utambe kila kona. Robo fainali sio mafanikio.

SOMA
- TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga
If you do not learn you will not earn
 
Mwanafunzi anayepata A ya somo la Geography anaenda kujifunza kwa yule anayepata C kwenye somo hilo kwenye kila mtihani?

Sitaki kuamini kuwa TP Mazembe imekuwa na viongozi vilaza kiasi Cha kwenda kujifunza kwa Utopolo.

Sijawahi kumsikia Barcelona wakienda kujifunza kwa Napoli. 🤣😆
 
Mwanafunzi anayepata A ya somo la Geography anaenda kujifunza kwa yule anayepata C kwenye somo hilo kwenye kila mtihani?

Sitaki kuamini kuwa TP Mazembe imekuwa na viongozi vilaza kiasi Cha kwenda kujifunza kwa Utopolo.

Sijawahi kumsikia Barcelona wakienda kujifunza kwa Napoli. 🤣😆
Kwa hio wewe una akili kuliko hao Mazembe?
 
Usajili wa wanachama (fans engagement), kushirikisha taasisi za fedha i.e Banks kwenye biashara ya football, kushirikisha kampuni za Bima, kushirikisha shirika la ndege la Taifa etc, ni miongoni mwa masuala yanayovutia watu wa mpira kujifunza.

Football beyond football ni jambo gumu kulifanya kwa vitendo. Yanga walijifunza baadhi ya haya mambo huko Hispania. TP Mazembe wameona sio vibaya kuwauliza Yanga wamewezaje....

Bila shaka kuna mengi yasiyosemwa ambayo Yanga inajifunza kwa TP Mazembe.
Nakupa Tano kubwa
 
Mwanafunzi anayepata A ya somo la Geography anaenda kujifunza kwa yule anayepata C kwenye somo hilo kwenye kila mtihani?

Sitaki kuamini kuwa TP Mazembe imekuwa na viongozi vilaza kiasi Cha kwenda kujifunza kwa Utopolo.

Sijawahi kumsikia Barcelona wakienda kujifunza kwa Napoli. 🤣😆
Nikusqidie kitu Mazembe inachqkujifunza mengi tu kwa Yanga ...umbumbumbu wako ndio unakusumbua..Mazembe ilikua timu ya kanisa ..ikachukuliwa na Katumbi , sasa Katumbi anataka iwe timu yenye wanachama waliosajiliwa na sio mashabiki tu ...
 
Watani vipi. Yani leo kwa sababu wamekija mazembe tayari mdomo uko juu sio.

Kwani kuna kipya kipi ? Hayo wanayoyafanya Yanga ni Copy & Paste ya Simba. Wakati Dewji anachanja mbuga kutafuta washirika na vilabu kwa ajili ya Programu za ushirikiano hata GSM alikuwa hajaiingiza ufadhili Yanga.

Wakati Simba kupitia viongozo wake wanaweka mikataba na Mabenki na kuanzisha usajili wa Wanachama ilikuwa hamuoni? Hio Mikataba na ATCL si Yanga wameingia mwaka jana tu kwenye Shirikisho na Mwaka huu Club Bingwa? Yaani wamecopy kwa Simba then wanataka hao Simba waende kujifunza kwao? Punguzeni sifa.

MpaKA gsm Hersi anafunguka Macho kujipenyeza CAF na FIFA , Mo alishatangulia kitambo. Hatujasahau tukio la Hersi kujipendekeza kwa Infantino kweenye Super League.

Eti leo Yanga wanapata ujasiri wa kujiona yeye ndio mwenye mafanikio zaidi. Si ndio kawaqida ya mpira huo?
Kwa kawaida jamii ndio itahukumu nani kafanikiwa kuliko mwengine baada ya muda fulani kupita.

Yanga punguzeni misifa.
 
Back
Top Bottom