Wenye CAF CL tittle 5 wamekuja kujifunza. Unahisi hawaijui historia ya mkufunzi?

Wenye CAF CL tittle 5 wamekuja kujifunza. Unahisi hawaijui historia ya mkufunzi?

Watani vipi. Yani leo kwa sababu wamekija mazembe tayari mdomo uko juu sio.

Kwani kuna kipya kipi ? Hayo wanayoyafanya Yanga ni Copy & Paste ya Simba. Wakati Dewji anachanja mbuga kutafuta washirika na vilabu kwa ajili ya Programu za ushirikiano hata GSM alikuwa hajaiingiza ufadhili Yanga.

Wakati Simba kupitia viongozo wake wanaweka mikataba na Mabenki na kuanzisha usajili wa Wanachama ilikuwa hamuoni? Hio Mikataba na ATCL si Yanga wameingia mwaka jana tu kwenye Shirikisho na Mwaka huu Club Bingwa? Yaani wamecopy kwa Simba then wanataka hao Simba waende kujifunza kwao? Punguzeni sifa.

MpaKA gsm Hersi anafunguka Macho kujipenyeza CAF na FIFA , Mo alishatangulia kitambo. Hatujasahau tukio la Hersi kujipendekeza kwa Infantino kweenye Super League.

Eti leo Yanga wanapata ujasiri wa kujiona yeye ndio mwenye mafanikio zaidi. Si ndio kawaqida ya mpira huo?
Kwa kawaida jamii ndio itahukumu nani kafanikiwa kuliko mwengine baada ya muda fulani kupita.

Yanga punguzeni misifa.
Mipango yenu makolo ni kama mipango ya Kingwendu
  • usajili wa wanachama ulifia wapi
  • ujenzi wa uwanja umefia wapi
-Taja partneship yoyote ya makolo na banks iliyo hai (Acha NBC mdhamini wa ligi)
  • Hersi ni Rais wa vilabu Afrika ( MO aliwahi)
  • Kuna mkataba wowowte wa shirika lolote la ndege na MAKOLO?

Mazembe wanajifunza continuty ya hayo yote, sio unaanzisha jambo linafia njiani unabaki kujisifu sisi wa kwanza kufanya hivyo with nothing to show (Plan za makolo zinafia njiani kama kingwendu). MARA YA MWISHO LINI UMESKIA MAKOLO WANASAJILI WANACHAMA?
 
Watani vipi. Yani leo kwa sababu wamekija mazembe tayari mdomo uko juu sio.

Kwani kuna kipya kipi ? Hayo wanayoyafanya Yanga ni Copy & Paste ya Simba. Wakati Dewji anachanja mbuga kutafuta washirika na vilabu kwa ajili ya Programu za ushirikiano hata GSM alikuwa hajaiingiza ufadhili Yanga.

Wakati Simba kupitia viongozo wake wanaweka mikataba na Mabenki na kuanzisha usajili wa Wanachama ilikuwa hamuoni? Hio Mikataba na ATCL si Yanga wameingia mwaka jana tu kwenye Shirikisho na Mwaka huu Club Bingwa? Yaani wamecopy kwa Simba then wanataka hao Simba waende kujifunza kwao? Punguzeni sifa.

MpaKA gsm Hersi anafunguka Macho kujipenyeza CAF na FIFA , Mo alishatangulia kitambo. Hatujasahau tukio la Hersi kujipendekeza kwa Infantino kweenye Super League.

Eti leo Yanga wanapata ujasiri wa kujiona yeye ndio mwenye mafanikio zaidi. Si ndio kawaqida ya mpira huo?
Kwa kawaida jamii ndio itahukumu nani kafanikiwa kuliko mwengine baada ya muda fulani kupita.

Yanga punguzeni misifa.
Twende polepole nadhani wewe hujaelewa mada. Rudia kusoma au labda nikuandikie kwa ufupi tu. Hii mada hauhusiani na kujitweza ila inahusiana na habari Simba kumdharau Yanga kwa kigezo cha robo fainali 5 mkiona hayo ndio mafanikio pekee.
 
Elimu haina mwisho.
Ila niseme tu viongozi wangu wa Simba ni wajinga kupindukia.
 
Back
Top Bottom