Wenye CAF CL tittle 5 wamekuja kujifunza. Unahisi hawaijui historia ya mkufunzi?

Mipango yenu makolo ni kama mipango ya Kingwendu
  • usajili wa wanachama ulifia wapi
  • ujenzi wa uwanja umefia wapi
-Taja partneship yoyote ya makolo na banks iliyo hai (Acha NBC mdhamini wa ligi)
  • Hersi ni Rais wa vilabu Afrika ( MO aliwahi)
  • Kuna mkataba wowowte wa shirika lolote la ndege na MAKOLO?

Mazembe wanajifunza continuty ya hayo yote, sio unaanzisha jambo linafia njiani unabaki kujisifu sisi wa kwanza kufanya hivyo with nothing to show (Plan za makolo zinafia njiani kama kingwendu). MARA YA MWISHO LINI UMESKIA MAKOLO WANASAJILI WANACHAMA?
 
Twende polepole nadhani wewe hujaelewa mada. Rudia kusoma au labda nikuandikie kwa ufupi tu. Hii mada hauhusiani na kujitweza ila inahusiana na habari Simba kumdharau Yanga kwa kigezo cha robo fainali 5 mkiona hayo ndio mafanikio pekee.
 
Elimu haina mwisho.
Ila niseme tu viongozi wangu wa Simba ni wajinga kupindukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…