#COVID19 Wenye damu group O ni kweli Corona haiwasumbui?

#COVID19 Wenye damu group O ni kweli Corona haiwasumbui?

We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Ndomana naipenda sana jf najifunza vingi na vingi vinauharusia acid ndo inanisumbua ila kuumwa sijawahi ila ninachangamoto moja nikienda sehemu mpya ntaumwa mara moja then baaas toka nije dar nikipigwa na maralia ila toka hapo mwaka wa nane huu nikienda hospital kupima ukimwi nikitembea na demu simuelewielewi na sikutwi na ngwangwa
 
Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.


Ila skuli huwa wanapata 0% kwenye papers, Mungu hampi mtu kila kitu.
 
Hebu nipeni elimu kuhusu hiyo acid tumboni unajisikiaje sikiaje yaani au inakuwaje kuwaje yaani mtu kujua anasumbuliwa na acid tumboni?
 
Hawanaga nguvu za kiume hao, daily wanashinda kwa Mwamposa wakipaka mafuta ya upako nyeti zao ili ziimarike lakini wapi, wakitoka huko wanaenda kwenye vumbi la Kongo lakini wapi . Baada ya hapo wanaenda kunywa mchuzi wa pweza lakini wapi.....
Wakipiga kamoja ngoma inaahtuka Tena next weekend
Wewe umejuaje?
 
Fanya direct injection ya infected blood, in three month jipime, usiende hata hospitali.
Mbona hilo lilishanikuta, ndio maana nakwambia hivyo, hiyo sio kama ni dhana bali lipo kitaalam ni waliniambia nirudi hospital kila baada ya miezi 3, kwa muda wa miezi tisa!!mfululizo sasa huu ni mwaka wa 8!!!
 
Mbona hilo lilishanikuta, ndio maana nakwambia hivyo, hiyo sio kama ni dhana bali lipo kitaalam ni waliniambia nirudi hospital kila baada ya miezi 3, kwa muda wa miezi tisa!!mfululizo sasa huu ni mwaka wa 8!!!
Una o- ? Tunaweza rudia hako kamchezo ka direct injection tena kama hutojali?
 
tunahitaji ushahidi tu kujiridhisha. kwa maoni ya jumla ni kwamba grup hili halisumbuliwi na vimagonjwa vidogovidogo. lakini kumbuka kuna vigezo vingi vinavyopelekea UVIKO kukumaliza. suala si kuwa na damu O pekee, vipi afya yako kabla ya kukutana na UVIKO? Unaweza kuta ushajichokea na kisukari ama ngoma yako kitaambo, kisha ujigambe una grup O mbele ya UVIKO....UNAJIDANGANYA
Siyo kuni O tu ni O-.
 
We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Uko sahihi,wengi wao matumbo yao hayana utulivu..na ukiweka kitu tu kisichoeleweka ni chaap kukimbiza mwenge..
 
Una o- ? Tunaweza rudia hako kamchezo ka direct injection tena kama hutojali?
Yaaa!!!kama una lengo la kiutafiti haina shida, ni suala la makubaliano tu, kwani hata hao waliofanya hivyo hawakuwa ni kwa kujifurahisha tu, kuna kitu bado wanakitafuta!!kama una ufahamu wowote juu ya mambo ya tiba, utakuwa umenielewa.
 
Hamnaga hiyo kitu.

Ni lazima upimwe sababu ni Faster Sana.

Dokta hawezi kusikiliza maneno yako kwenye kuongeza damu kwa sababu wakikosea "Inaclot" na shughuli inaishia hapo unamfuata shujaa
Anamfuata Shujaa..[emoji23] hupendi amani kabisa..
 
Back
Top Bottom