beny jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 849
- 1,168
Ndomana naipenda sana jf najifunza vingi na vingi vinauharusia acid ndo inanisumbua ila kuumwa sijawahi ila ninachangamoto moja nikienda sehemu mpya ntaumwa mara moja then baaas toka nije dar nikipigwa na maralia ila toka hapo mwaka wa nane huu nikienda hospital kupima ukimwi nikitembea na demu simuelewielewi na sikutwi na ngwangwaWe huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....