Ndomana naipenda sana jf najifunza vingi na vingi vinauharusia acid ndo inanisumbua ila kuumwa sijawahi ila ninachangamoto moja nikienda sehemu mpya ntaumwa mara moja then baaas toka nije dar nikipigwa na maralia ila toka hapo mwaka wa nane huu nikienda hospital kupima ukimwi nikitembea na demu simuelewielewi na sikutwi na ngwangwaWe huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Leo nimesikia watu wenye damu group O hawasumbuliwi sana na Corona. Hivi damu group hili ina nini special, mambo mengi nasikia wenye group wanapeta hata magonjwa ya kawaida.
Yaan kifupu group o hata njaa huwa haituumi kabisa
Endelea kuuza mechi,ipo siku
O -
Ova
nakaziaHebu nipeni elimu kuhusu hiyo acid tumboni unajisikiaje sikiaje yaani au inakuwaje kuwaje yaani mtu kujua anasumbuliwa na acid tumboni?
Wewe umejuaje?Hawanaga nguvu za kiume hao, daily wanashinda kwa Mwamposa wakipaka mafuta ya upako nyeti zao ili ziimarike lakini wapi, wakitoka huko wanaenda kwenye vumbi la Kongo lakini wapi . Baada ya hapo wanaenda kunywa mchuzi wa pweza lakini wapi.....
Wakipiga kamoja ngoma inaahtuka Tena next weekend
Fanya direct injection ya infected blood, in three month jipime, usiende hata hospitali.Kwa wachache wetu hata ngoma hatupati!!raha sana!!
Mbona hilo lilishanikuta, ndio maana nakwambia hivyo, hiyo sio kama ni dhana bali lipo kitaalam ni waliniambia nirudi hospital kila baada ya miezi 3, kwa muda wa miezi tisa!!mfululizo sasa huu ni mwaka wa 8!!!Fanya direct injection ya infected blood, in three month jipime, usiende hata hospitali.
Una o- ? Tunaweza rudia hako kamchezo ka direct injection tena kama hutojali?Mbona hilo lilishanikuta, ndio maana nakwambia hivyo, hiyo sio kama ni dhana bali lipo kitaalam ni waliniambia nirudi hospital kila baada ya miezi 3, kwa muda wa miezi tisa!!mfululizo sasa huu ni mwaka wa 8!!!
5000 Tsh.kipimo cha kujua group la damu kinagharimu kiasi gani maana mpaka sasa sijui group lang la damu.
Kundi hili ndiyo linaongoza kwa watu wengi kwahiyo kivyovyote vile ndiyo kundi linaloshambuliwa sana na magonjwa mengi..Dah nasisi wa 0+ je ubora wetu ni upi?
Siyo kuni O tu ni O-.tunahitaji ushahidi tu kujiridhisha. kwa maoni ya jumla ni kwamba grup hili halisumbuliwi na vimagonjwa vidogovidogo. lakini kumbuka kuna vigezo vingi vinavyopelekea UVIKO kukumaliza. suala si kuwa na damu O pekee, vipi afya yako kabla ya kukutana na UVIKO? Unaweza kuta ushajichokea na kisukari ama ngoma yako kitaambo, kisha ujigambe una grup O mbele ya UVIKO....UNAJIDANGANYA
Uko sahihi,wengi wao matumbo yao hayana utulivu..na ukiweka kitu tu kisichoeleweka ni chaap kukimbiza mwenge..We huwezi kuja pata covid wala Blood Pressure....wala stroke
ila kitu kitakachokusumbua ni acid tumboni..
0- hii kitu inawasumbuaga sana....
Yaaa!!!kama una lengo la kiutafiti haina shida, ni suala la makubaliano tu, kwani hata hao waliofanya hivyo hawakuwa ni kwa kujifurahisha tu, kuna kitu bado wanakitafuta!!kama una ufahamu wowote juu ya mambo ya tiba, utakuwa umenielewa.Una o- ? Tunaweza rudia hako kamchezo ka direct injection tena kama hutojali?
Kabisa..ndiyo watakaofika ile Nchi ya ahadi..[emoji23]Hawa ndio wana wa Mungu walio barikiwa.
Sawa wizard.Yaaa!!!kama una lengo la kiutafiti haina shida, ni suala la makubaliano tu, kwani hata hao waliofanya hivyo hawakuwa ni kwa kujifurahisha tu, kuna kitu bado wanakitafuta!!kama una ufahamu wowote juu ya mambo ya tiba, utakuwa umenielewa.
Anamfuata Shujaa..[emoji23] hupendi amani kabisa..Hamnaga hiyo kitu.
Ni lazima upimwe sababu ni Faster Sana.
Dokta hawezi kusikiliza maneno yako kwenye kuongeza damu kwa sababu wakikosea "Inaclot" na shughuli inaishia hapo unamfuata shujaa