Wenye div 3 kuachwa jkt ni ishara mbaya

Wenye div 3 kuachwa jkt ni ishara mbaya

mangechukua div 3 arts kambi zisinge tosha kwani ni zaidi ya 20elfu
 
THE SYSTEM OF ELIMINATION,si kweli alyepata one ndo ana akili,kunawatu wana 3 za tisa,pia kuna waliopata one wamekalili na waliopata 4 wamepata maarifa.thats why kweny maisha wanaofanikiwa si weny digree tatu au mbili.angalia matajir wote.KAMA KUFAULU KUNGEKUA NDO KUPATA UTAJIRI BASI MAPROFESA WANGEKUWA MATAJIRI.WENY MAGOROFA KARIB WENGI KARIAKOO HAWANA HATA DIGRII.tafuteni phd mkaajiliwe kweny ofisi za watu wasio na hata digree.pia kuna maprofesa hata banda la vocha hawana wanaishia sure man, yan bongo akuna elim ya madaftar bali c ya curiosity
 
THE SYSTEM OF ELIMINATION,si kweli alyepata one ndo ana akili,kunawatu wana 3 za tisa,pia kuna waliopata one wamekalili na waliopata 4 wamepata maarifa.thats why kweny maisha wanaofanikiwa si weny digree tatu au mbili.angalia matajir wote.KAMA KUFAULU KUNGEKUA NDO KUPATA UTAJIRI BASI MAPROFESA WANGEKUWA MATAJIRI.WENY MAGOROFA KARIB WENGI KARIAKOO HAWANA HATA DIGRII.tafuteni phd mkaajiliwe kweny ofisi za watu wasio na hata digree.pia kuna maprofesa hata banda la vocha hawana wanaishia kukariri vitabu.kwa kumalizia,bongo ukifaulu maana yake ulichosoma kimetoka.

Naked truth......kweli tupuuuu
 
Pole kwa kupata II,wenzio wanachekelea na I zao tena za point 6.

Umenikumbusha mbali mkuu, nami nilipa Div One ya 6 points [Betri(ABC)]ya PCB, tena miaka ya zamani sana. Sasa huyo anayelingia Div Two miaka ya sasa,hana jipya anatakiwa ajitathimini tu.
 
Back
Top Bottom