Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Na chakula cha bure kalaHope umefika na hukulipa kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na chakula cha bure kalaHope umefika na hukulipa kitu.
Acha uongo wewe pips 1000 kwa dakika 30? .. labda uniambie bitcoin ila sio hizi instruments nyingine.. hata pips 100 kwa dakika 30 inatokea mara chache sana tena ikiwa kwenye events za interest rate hikesmbona GOLD inatembea tu ndg,hata GBPJPY?..
Mi mwenyewe sijajuaIpo wap mkuu?
Mana ndo nagundua now, nimekuja mliman city hola
Duuh we ulipaswa uwepo mkuu maana utakuwa kama baloziHii taarifa ndo naiona leo. Hakika nimefeli. Alafu nipo hapa hapa mlimani na fxtm ndo broker ninayemtumia
Wakosoaji hamkosagihizo account za watz zitachezewa mpaka zilipe gharama zote alizotumia kuja tz, na training ya leo na chakula pia na gharama za siku zijazo, na cha juu cha lifetime!
Mkuu unaweza kuwataja hao brokers?Hili ndio kubwa la kuzingatia, wengi wanachagua broker kwa kufuata upepo na sio kwa kufanya utafit yakinifu, eti tumia broker fulani kisa waweza deposit kwa mpesa!!, kuna vitu vya ziada vya kuzingatia ikiwa ni pamoja na regulator wa kueleweka.
Nimechagua broker wangu watatu
- USA based mmoja na
- UK/Australia base - wawili.
Hawa broker wananiwezesha kutrade hata zile pair ambazo wengine wanazikimbia sababu ya spread kubwa ila kwa hawa brokers still spread bado ni ndogo, Na nzuri zaidi account zote ni ECN zenye commission ndogo.
Mkuu kuwa muungwana.samahani kama nimekusababishia maumivu siku nyingine itakuwa slow but sure vilainishi vitahusika😀
Hawawezi, maana za USO wamezichezea kwelikweli.Tuanze kuleta mrejesho wa semina ilivyokuwa.
Waliwapata?Wanakuja kuwavizia wajinga wengine.....tena wawapate
OvA
Duh.... Hakuna hadi leo....Tuanze kuleta mrejesho wa semina ilivyokuwa.