mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Sahv wanawaleta wazungu kuwaaminisha watu wawapige Vizuri tenaWizi tu hamna jipya
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahv wanawaleta wazungu kuwaaminisha watu wawapige Vizuri tenaWizi tu hamna jipya
Siyo kila reviews mbaya kuhusu broker ni za kweli nyingine ni za kizushi tu usiamini kila kitu unachokisoma kwenye mtandao wa internet inabidi uchanganye na za kwako! Tatizo newbies wengi wanakuja kwenye forex trading wakiwa wameamninshwa kupata fedha nyingi kwa haraka na pia elimu ya forex huwa ni ndogo sana kwao. Kwa hiyo wakipigwa za uso na rungu la forex wanabaki chali wanaanza kusingizia huyu broker ni scammer au market maker! Hata ukimpata true ecn broker kama huna elimu ya kutosha kutrade forex utapigwa za uso tu. Hata pros wenyewe sometimes wanapigwa sembuse newbie!Mm nshamaliza chief,km una maslahi na fxtm pole yako,sipo kubishana nna mambo muhimu,nilitaka tu kutahadharisha watu khs huyu broker haijalishi nimeiva au lah,guys nendeni google type fxtm reviews,utapata yote khs huyu broker tapeli,usiseme hukuonywa.
😀😀😀Amekwambia kwa dk 30 sio kwa siku, alafu bila news yeyote...
Huyu jamaa ana kamba sana
Sio Mlimani ni Milmani elewa mkuuhii ni bure.. tmt ni laki 2.. naishi karibu na mlimani.. na naenda na machale ili niwakomboe watu wasitapeliwe.. akilazimisha tu broker nashtua watu
Ipo wap mkuu?Sio Mlimani ni Milmani elewa mkuu
Milman ipo wap mkuu?Hawa Fxtm walinipigia simu jana kwa namba ya code namba ya uingereza wakinikaribisha kuhudhuria training,
Njoo geti la mlimani barabara ya sam nujoma. Ukifika hapo ingia ndani na ulizia mlimani city conference utatukuta wadau tupoMilman ipo wap mkuu?
Dola 200 usawa huu....Aisee huko chini sijusoma,
Kumbe itahitaji tuweke tena UsD 200?
Mkuu mimi nipo kwenye training muda huu mfukoni nina shilingi 5600 tu.Dola 200 usawa huu....
People are not serious aisee....
Mkuu hiyo milman ipo wap?Hii semina ni bure kabisa,hakuna kiingilio
Hili ndio kubwa la kuzingatia, wengi wanachagua broker kwa kufuata upepo na sio kwa kufanya utafit yakinifu, eti tumia broker fulani kisa waweza deposit kwa mpesa!!, kuna vitu vya ziada vya kuzingatia ikiwa ni pamoja na regulator wa kueleweka.Swala akufundishe jinsi ya kuwawinda swala NO NO use your common sense my people usijiunge na broker kisa kaja Tanzania Jiunge kwa sababu na mazingira mazuri (Favourable market condition)
Mbona wanasema ni milman, na sio mliman?Njoo geti la mlimani barabara ya sam nujoma. Ukifika hapo ingia ndani na ulizia mlimani city conference utatukuta wadau tupo
Muda huu uko wapi weweMkuu hiyo milman ipo wap?
Mi nipo M.city hapa
Mliman cityMuda huu uko wapi wewe
Mkuu acha ubishi mimi nipo kwenye training... Ni mlimani city chukua guta ujeMbona wanasema ni milman, na sio mliman?
Jamaa mbona nimeshakujibu hapo juu, ulizia mlimani city conference iko wapiMliman city