Wenye FOREX kutua nchini wiki hii, Semina Bure jiandikishe

mbona GOLD inatembea tu ndg,hata GBPJPY?..
Acha uongo wewe pips 1000 kwa dakika 30? .. labda uniambie bitcoin ila sio hizi instruments nyingine.. hata pips 100 kwa dakika 30 inatokea mara chache sana tena ikiwa kwenye events za interest rate hikes
 
mkuuu acha wiziii naa hiiiii sema una taka watu wajiunge upate pesaaa
 
trading one master for the other, tena kwa huyu downside itakuwa kubwa mno! trust me!
 
hizo account za watz zitachezewa mpaka zilipe gharama zote alizotumia kuja tz, na training ya leo na chakula pia na gharama za siku zijazo, na cha juu cha lifetime!
 
nasikia kuna masharti, mpaka ifungue account kwa $200 au &100
 
Mkuu unaweza kuwataja hao brokers?
 
Tuanze kuleta mrejesho wa semina ilivyokuwa.
 
mmhh wameona shamba la bibi
Tickmill naye yuko njiani
 
Haya mlioenda seminar anzeni kuleta shuhuda vipi mpk sasa bado mna ndoto za KUMILIKI BMW ,BENZ, VOXHAUL .....AU NDIO TAYARI MSHAPIGWA TENA ???
 
Wenye experiencena huyu broker tafadhali.... Kati ya fxtm na exness wapi pako vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…