chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Mimi hata njaa sisikii tena kwa furaha.
Sijui niviache tu hivi viroba?
Aaaah, potelea pote.
i think now unaskia njaa 2015 ulikuwa umevimbiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hata njaa sisikii tena kwa furaha.
Sijui niviache tu hivi viroba?
Aaaah, potelea pote.
Nafukua kaburi vipi wenzangu tuliofurahia ushindi kwa vifijo na vigelegele, twajionaje na hali?
nina furaha ya 4G na ningejua kabla kama atakukuwa yeye nisingesoma kabisa full uzalendo na kuipenda nchi kunanipa ulaji.Hata nisipojua kusoma au kuandika kwani kuna wasomi wengi ni wezi na wametuibia sanaYaaani!!!!...weee acha tuu.. siku ya leo nina furaha isiyo kifani. nimefurahi sana tena sanaaaaa... Dr Magufuli kuwa rais wetu wa awamu ya tano. kama una furaha km mimi mwaga hapa hisia zako plz
Nanake... Huyu jamaa yuko wapi?Yaaani!!!!...weee acha tuu.. siku ya leo nina furaha isiyo kifani. nimefurahi sana tena sanaaaaa... Dr Magufuli kuwa rais wetu wa awamu ya tano. kama una furaha km mimi mwaga hapa hisia zako plz
Hivi kwa nini hukupokea wewe!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka kwa sauti ujue jana usiku nashika simu ya halotel nakuta missed call yako hivi no zangu zote si ulikua hauna jamaan
Naomba feedback mkuu,bado uko kwenye msimamo wako?Yaaani!!!!...weee acha tuu.. siku ya leo nina furaha isiyo kifani. nimefurahi sana tena sanaaaaa... Dr Magufuli kuwa rais wetu wa awamu ya tano. kama una furaha km mimi mwaga hapa hisia zako plz
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada povu sitaki kama la jana kwahiyo halotel walikutolea niniiHivi kwa nini hukupokea wewe!!!
Ungejua shida nloipata we acha, Kumbee mie ndo nilikuwa kiherehere wa kutafuta watu, Yaani wiki hamna wa kunitafuta. Hata wewee, nisiende halotel wakantolea bhana, jana nilikuwa nawasuta watu ka wewe!!!!
Mkuu upo?Mimi hata njaa sisikii tena kwa furaha.
Sijui niviache tu hivi viroba?
Aaaah, potelea pote.
Taarifa ya toka Mach.... Lakini mlivyofanya sio poa kabisa.... Nilienda na mjeda kabisa!!!! Na rb juu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada povu sitaki kama la jana kwahiyo halotel walikutolea ninii
Daaahhhh kumbe nilikosaga utamu !!!!!!!Yaaani!!!!...weee acha tuu.. siku ya leo nina furaha isiyo kifani. nimefurahi sana tena sanaaaaa... Dr Magufuli kuwa rais wetu wa awamu ya tano. kama una furaha km mimi mwaga hapa hisia zako plz
Sasa sisi tumefanyaje hivi me si uliniambia hauna no yangu nikutafute nikakutafute kwenye tigo week ile iliyoisha [emoji30][emoji30][emoji30]Taarifa ya toka Mach.... Lakini mlivyofanya sio poa kabisa.... Nilienda na mjeda kabisa!!!! Na rb juu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu upo?
Naomba feedback mkuu,bado uko kwenye msimamo wako?
We unajua nakutafutaga wapi????!!! Sikuamini kabisa, niliwapa zao halafu nkawablock.Sasa sisi tumefanyaje hivi me si uliniambia hauna no yangu nikutafute nikakutafute kwenye tigo week ile iliyoisha [emoji30][emoji30][emoji30]
Ingekuwa malighafi, haki ya nani baada ya hii miaka mitano ningeenda kuiweka pale makumbusho ya Taifa.Hahahahahahaha
Natamani kila Diwani, kila Mbunge, kila Meya awe Kama Dkt Pombe,
Tena katika vitu vikubwa zaid JK alivyotuachia Kama urithi wake kwetu kumkumbuka ni hili Fupa toka Chatto!
Basi basi jaman nawaombea msamaha kwa niaba yangu [emoji134] [emoji134]We unajua nakutafutaga wapi????!!! Sikuamini kabisa, niliwapa zao halafu nkawablock.
bado unakula utamu na raha?
Hapana kwa kweli, unaambiwa pata shida umjue rafiki!!!!Basi basi jaman nawaombea msamaha kwa niaba yangu [emoji134] [emoji134]
Hahaha JK si tulisema dhaifu ngoja Ngosha atunyosheHahahahahahaha
Natamani kila Diwani, kila Mbunge, kila Meya awe Kama Dkt Pombe,
Tena katika vitu vikubwa zaid JK alivyotuachia Kama urithi wake kwetu kumkumbuka ni hili Fupa toka Chatto!