Wenye furaha baada ya Dr Magufuli kutangazwa kuwa rais tukutane hapa

Me amenikana maandishi yake cuzoo ujue
Haaaaaaa kwa Hali ilivyo sasa lazima ayakane anatamani angekuwa mod ayafute kabisaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapana.

Mimi na sera za Magufuli mpaka tuone mwisho wake (2025). Maamuzi yake yana tija ya muda mrefu (strategic). Mimi nipo siti ya mbele namuangalia dereva akifanya vitu vyake.
Sumu haijalibiwi kwa kuonjwa!
 
Haaaaaaa kwa Hali ilivyo sasa lazima ayakane anatamani angekuwa mod ayafute kabisaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Poa mkuu bila shaka fraha yako inazidi kuongezeka
Kwa kweli, ndio.

Watu tuliopata kufanya kazi katika private sector tumekuja kuzoea kupimwa/kijipima ufanisi wako.

Hatukuichukulia kama unyanyashaji bali kama njia mojawapo ya kujiendeleza kiufanisi. Haya mambo ya kuwa "ah, nitafanya kesho" yanaondoka.

Unajipangia ni kitu gani kifanyike kwa muda unaopanga (saa, siku, wiki, mwezi) halafu unajitathmini umefanikiwa kwa kiasi gani. Kama hukufanikiwa ni kwa nini, kama umefanikiwa je ungeweza kumaliza kwa muda mfupi zaidi?

Mtu unabidi uwe ( ujiwekee) log-book yako ya unachokifanya na muda unaouchukua kukifanya. Mwanzoni utaona ni usumbufu lakini ukishazoea hii nidhamu itakusaidia hata nje ya ajira.

Hii ni muhimu sana kama utaamua kujiajiri mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…