ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Jan 25, 2024 #1 Kwenye mambo ya kazi hatuchezi tunachezea mshahara sitaki uje unilaumu sikukupa akili weka na ile B&W ya kupima kuanzia buku.kale kapombe kazuri sana kana stimu lake special yaani kanakukamata mwili wote unakuwa wa moto.
Kwenye mambo ya kazi hatuchezi tunachezea mshahara sitaki uje unilaumu sikukupa akili weka na ile B&W ya kupima kuanzia buku.kale kapombe kazuri sana kana stimu lake special yaani kanakukamata mwili wote unakuwa wa moto.
Mr mutuu JF-Expert Member Joined Jan 27, 2023 Posts 2,869 Reaction score 14,501 Jan 25, 2024 #2 Black and white upime ya buku utapima kwenye kisoda au?
ndege JOHN JF-Expert Member Joined Aug 5, 2015 Posts 21,643 Reaction score 51,642 Jan 25, 2024 Thread starter #3 Mr mutuu said: Black and white upime ya buku utapima kwenye kisoda au? Click to expand... Hata ya buku tatu na safare zako tano
Mr mutuu said: Black and white upime ya buku utapima kwenye kisoda au? Click to expand... Hata ya buku tatu na safare zako tano
Mr mutuu JF-Expert Member Joined Jan 27, 2023 Posts 2,869 Reaction score 14,501 Jan 25, 2024 #4 ndege JOHN said: Hata ya buku tatu na safare zako tano Click to expand... Buku 3 sawa.... Ila mkuu Kua makini black and white ikikuta tumboni huna kitu utatapika mpaka ulimi siku hiyo
ndege JOHN said: Hata ya buku tatu na safare zako tano Click to expand... Buku 3 sawa.... Ila mkuu Kua makini black and white ikikuta tumboni huna kitu utatapika mpaka ulimi siku hiyo