Wenye hofu ya kutekwa tukutane hapa


Mwee!!, na namba futamo dada angu
 
Ila mzigua hata mm nikikuone aisee ntajaribu bahati yangu ingawa mm sikuteki ki Ben wa saa nane bali nakuteka kimapenz. Nimechek avatar yako mtoto una mshepu,manshallah
 
Mumewe atakuteka…!!! πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ˜ŽπŸ˜Ž
 
Ila mzigua hata mm nikikuone aisee ntajaribu bahati yangu ingawa mm sikuteki ki Ben wa saa nane bali nakuteka kimapenz. Nimechek avatar yako mtoto una mshepu,manshallah
Shape ya avatar hiyo isikutishe hata
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Naomba namba yako. Seriously
 
Tangu nitoe bandiko nikipata vijana wa tano MO anapatkana bas usalama wangu upo hatarin sana,
PM napata raia ambao sina ata maelezo


Dua zenu jmn. Billion inataka kutenganisha pumz na mwil
 
Mzee hujakosea.
Kutekwa hakuchagui tajiri wala masikini.
Kutekwa kupo palepale japo wengi watakubeza.
 
Na Mimi naomba namba yako Kwa pm mkuu.. πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…