Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi mitaa ya Mbezi nahisi kuna watu walitaka kuniteka ila kwa kua najua kuvumilia shida zangu nikanusurika.
Nilikua naenda kupanda daladala Mara nikaona gari imepaki na honi nyingii. Kaka wa bajaj akaniambia Dada unaitwa wewe. Nikaona aibu Fulani maana watu wote wakawa wananiangalia Sasa ninaeitwa. Nikaenda kumsikiliza huyo anaeniita. Akaanza Dada mzuri nimekupenda blah blah.. Nimekuita nikusalimie. Mara unaenda wapi nikamwambia naenda Posta akaniambia panda nikusogeze mpaka Makumbusho nikamwambia asante namsubiri MTU. Akaniambia panda basi mpaka pale sheli nataka tuongee kidogo nikamwambia hapana nashukuru. Akaniaomba Namba nikampa. Wakawasha gari Lao wakaondoka. Walikua wanaume watatu kwenye gari. Kama alikua kweli ananitaka ile kunitongoza I'm very sure angeshanitafuta. Jana jioni jioni nimeona tena hiyo gari mitaa nilipokutana nayo siku ya kwanza..
Wangetaka angepiga simu nilivyogeuka tu pale.wewe mtu mzima, hao sio watekaji tunaowasema hao walitaka na bado wanataka yale mambo yetu.
Wangetaka angepiga simu nilivyogeuka tu pale.
Niliipata mama. Lift sipandagi kabisa. Naogopa mnoo. Wale nilikua nimesimama pembeni kuna madereva BajaJ na bodaboda na nikawa napiga mahesabu kabisa ikitokea wakashuka kunikamata kwa nguvu narukia wapi. Hata barabarani nikitembea nakuaga makini na magari yanayokuja njia yangu maana kuna mdogo wa mpangaji mwenzie na rafiki yangu alitakagwa kutekwa na gari barabarani SAA moja jioni. Nimekoma mbona. Nishasema acha MTU anione naringa ila ile hatari ya juzi siirudii tena.
Pole sana Mzigua
Wangetaka angepiga simu nilivyogeuka tu pale.
SawaSubiri tutakupigia
Nilienda sio kwa kupenda ila niliona Kama nitacreate scene bureKumbe wadada tukichukua namba za simu huwa mnatamani tuwapigie. Jamaa watakuwa wamepiga hesabu wameona hasara kuendelea kukufuatulia, kwa hiyo wamevunga.
Ila next time don’t be like that, usiruhusu mtu yoyote akulazimishe ufanye kitu ambacho hukitaki, ingemake sense Kama umeitwa na umeenda kwa sababu umependa kampani yao na sio uwepo wa bodaboda au watu wengine umekulazimisha.
Niliogopa acha kabisa.Pole sana Mzigua
Kwanini kaka?Pole ya nini anastahili hongera huyu.
Hao ninawajua wangekufanyia mbaya sanaJuzi mitaa ya Mbezi nahisi kuna watu walitaka kuniteka ila kwa kua najua kuvumilia shida zangu nikanusurika.
Nilikua naenda kupanda daladala Mara nikaona gari imepaki na honi nyingii. Kaka wa bajaj akaniambia Dada unaitwa wewe. Nikaona aibu Fulani maana watu wote wakawa wananiangalia Sasa ninaeitwa. Nikaenda kumsikiliza huyo anaeniita. Akaanza Dada mzuri nimekupenda blah blah.. Nimekuita nikusalimie. Mara unaenda wapi nikamwambia naenda Posta akaniambia panda nikusogeze mpaka Makumbusho nikamwambia asante namsubiri MTU. Akaniambia panda basi mpaka pale sheli nataka tuongee kidogo nikamwambia hapana nashukuru. Akaniaomba Namba nikampa. Wakawasha gari Lao wakaondoka. Walikua wanaume watatu kwenye gari. Kama alikua kweli ananitaka ile kunitongoza I'm very sure angeshanitafuta. Jana jioni jioni nimeona tena hiyo gari mitaa nilipokutana nayo siku ya kwanza..
Niliogopa acha kabisa.
Watu wengine wana bahati zao yaani kwa maneno hayo akapewa namba ? Halafu hana time ? ...Nini kinampa kiburi hivyo huyo Fakeni ? Au alikuwa na Aston Martin inayogeuka kuwa Boti kwenye bahari ?Juzi mitaa ya Mbezi nahisi kuna watu walitaka kuniteka ila kwa kua najua kuvumilia shida zangu nikanusurika.
Nilikua naenda kupanda daladala Mara nikaona gari imepaki na honi nyingii. Kaka wa bajaj akaniambia Dada unaitwa wewe. Nikaona aibu Fulani maana watu wote wakawa wananiangalia Sasa ninaeitwa. Nikaenda kumsikiliza huyo anaeniita. Akaanza Dada mzuri nimekupenda blah blah.. Nimekuita nikusalimie. Mara unaenda wapi nikamwambia naenda Posta akaniambia panda nikusogeze mpaka Makumbusho nikamwambia asante namsubiri MTU. Akaniambia panda basi mpaka pale sheli nataka tuongee kidogo nikamwambia hapana nashukuru. Akaniaomba Namba nikampa. Wakawasha gari Lao wakaondoka. Walikua wanaume watatu kwenye gari. Kama alikua kweli ananitaka ile kunitongoza I'm very sure angeshanitafuta. Jana jioni jioni nimeona tena hiyo gari mitaa nilipokutana nayo siku ya kwanza..
Wana gari gani Kama unawajua kweli?Hao ninawajua wangekufanyia mbaya sana
NimekomaUsirudie tena kufanya ulivyofanya.
Hahahahahaaa. Hamna nilimpa tu niwahi nilikokua naendaWatu wengine wana bahati zao yaani kwa maneno hayo akapewa namba ? Halafu hana time ? ...Nini kinampa kiburi hivyo huyo Fakeni ? Au alikuwa na Aston Martin inayogeuka kuwa Boti kwenye bahari ?
Vipi unatema kama Fungo nini ?Mimi ukiniteka ni lazima utanirudisha tu.