Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,292
- 7,867
Dah! Hapo lazima nikafungue kesi ya kudai fidia ya shilingi moja tu na kuombwa radhi kupitia vyombo vyote vya habari vilivyosajilia nchini kwa kosa la kukashifiwa.Siwezi kubali jambo hili hata kidogoUwiii hapo ntapinga mpaka kesho. Hebu watake radhi watu na majina yao.
Sesten Zakazaka hivi haya yako nayo ni majina mawili eeee? πππππ
Wee jamaa una akili sana aiseeπππMbona ww una jina moja then mbumbumbu
ππππ muache tu sababu ndio mawazo yake hayo Sesten.Dah! Hapo lazima nikafungue kesi ya kudai fidia ya shilingi moja tu na kuombwa radhi kupitia vyombo vyote vya habari vilivyosajilia nchini kwa kosa la kukashifiwa.Siwezi kubali jambo hili hata kidogo
Nijaalie hali yako kwa muhtasar kwanza Hajar , ulivolala, ulivoamka na unavojiskia skia kwa sasa mamiiπ
Basi ngoja nitumie ile kanuni ya "samehe saba mara sabini" nimemsamehe tayari. Lakini tafiti zingine hizi!!!ππππ muache tu sababu ndio mawazo yake hayo Sesten.
Mie Alhamdulillah uzima ninao.
Ewaaaaaaa. Hahahaaa zina ukweli eeee? πππBasi ngoja nitumie ile kanuni ya "samehe saba mara sabini" nimemsamehe tayari. Lakini tafiti zingine hizi!!!
Hahahaaaaa, unataka kuleta hadithi ya muwamba ngoma eeeh?Ewaaaaaaa. Hahahaaa zina ukweli eeee? πππ
Hahahaaa. Hapana banaaa.Hahahaaaaa, unataka kuleta hadithi ya muwamba ngoma eeeh?
Dah...kumbe nawe ni Yanga wa matopeni [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]