Wenye ID yenye majina mawili uwezo wao ni mdogo kuliko wenye Jina moja

nyie ndio wakezenu wanasauti kuliko wewe katk familia
 
Hahaha...hizi tafiti mwitu hizi
 
Haya mkuu Mimi nakutunuku "uprofesa" kwa utafiti wako but mind you that ni uprofesa wa vilaza Jeiefu![emoji23] [emoji23]
 
Paschal Mayala inamuhusu hii. Kwa lugha nyingine unamaanisha verified users wote hawako vizuri.
 
Sio Kweli Mkuu. Ila Uko Sahihi Kwa Mtazamo Wako. But Ungeweka Na Data Kidogo Kasample Space. Tuelewe Vzur. Utaft Gani Hauna Namba HAta Kdogo
 
Hivi TCC sigara wanazotengeneza wanatumia malighafi gani wakuu?

Ni yale majani mapana kutoka Tabora au ni yale majani ya Meru yanayolimwa mafichoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…