Wenye kinyaa huongoza kwa kuwa wachafu

Wenye kinyaa huongoza kwa kuwa wachafu

Wewe ni msafi tu wala huna kinyaa.

Nimeishi na watu wa aina zote mbili,huyu aina yako ni rafiki yangu wa karibu kabisa.
Kinyaa nahisi ni ugonjwa mwingine kabisa.
Mkuu kinyaa nilichonacho hata mate yangu ninapo swaki huwa siyatazami,napata tabu Sana Mkuu.Na hii Hali Ni toka utoto
 
Africa ni chafu sana kuna mitaa ina vyoo vya shimo. Mtaa mzima unanuka, kunyanyapaa uchafu(kinyaa) ni kazi bure, upo kila kona.
 
Umewahi kukutana na mtu ambaye ana kinyaa kilichopitiliza? Hali yake ya maisha vipi?

Ukweli ni kuwa, sisi binadamu ni wachafu kiasili. Na hii ni kutokana na ukweli kuwa huwezi kuwa msafi kwa asilimia zote. Maisha yetu ya kila wakati yanajumuisha uchafu. Mazingira na miili yetu huzalisha taka nyingi hivyo kuufanya uchafu sehemu ya maisha yetu.
Umenikumbusha kipindi nakaa Kwa shemeji yaani sijawahi kukutana na binadamu mwenye kinyaa kama yule, ila sasa hajui ata kufagia, alinipigisha Sana kazi kiufupi ndiye alinipa hasira ya kupambana ili nijinusuru kuwa tegemezi
 
Back
Top Bottom