Usitukuze ujinga wenu, Tanzania wala nchi yoyote Afrika haijawahi kuingia kwenye Baraza la Usalama la UN kwa hiyo Kenya ndo ya kwanza kupata nafasi hiyo iliyogombaniwa na nchi nyingi ikiwemo India. Kenya sasa imeungana na zile nchi 5 zenye uanachama wa kudumu za USA, Urusi, Uingereza, Ufaransa na China lakini nafikiri bado kuna nafasi moja au mbili kuungana na Kenya kama hazijajazwa maana Ujerumani pia iliomba. Tanzania mpaka Kisukuma kitambulike UN ni lini kama Mayalla (Njaa) anaendelea kukosa uteuzi?
Huyo Kenya kawakuta Tunisia na Niger tayari ni members wa hilo baraza. Pitia vyema vyanzo vyako vya taarifa.Usitukuze ujinga wenu CCM hapa, Tanzania wala nchi yoyote Afrika haijawahi kuingia kwenye Baraza la Usalama la UN kwa hiyo Kenya ndo ya kwanza kupata nafasi hiyo iliyogombaniwa na nchi nyingi ikiwemo India. Kenya sasa imeungana na zile nchi 5 zenye uanachama wa kudumu za USA, Urusi, Uingereza, Ufaransa na China lakini nafikiri bado kuna nafasi moja au mbili kuungana na Kenya kama hazijajazwa maana Ujerumani pia iliomba. Tanzania mpaka Kisukuma kitambulike UN ni lini kama Mayalla (Njaa) anaendelea kukosa uteuzi? Congratulations Kenya, the pacesetter!
Kuna wakati huyu The Boss nilikuwa namwona Mtu Mmoja Smart sana Upstairs ila taratibu naanza Kugundua kuwa sasa IQ yake inaanza Kuchoka.Usitukuze ujinga wenu CCM hapa, Tanzania wala nchi yoyote Afrika haijawahi kuingia kwenye Baraza la Usalama la UN kwa hiyo Kenya ndo ya kwanza kupata nafasi hiyo iliyogombaniwa na nchi nyingi ikiwemo India. Kenya sasa imeungana na zile nchi 5 zenye uanachama wa kudumu za USA, Urusi, Uingereza, Ufaransa na China lakini nafikiri bado kuna nafasi moja au mbili kuungana na Kenya kama hazijajazwa maana Ujerumani pia iliomba. Tanzania mpaka Kisukuma kitambulike UN ni lini kama Mayalla (Njaa) anaendelea kukosa uteuzi? Congratulations Kenya, the pacesetter!
Huyo Kenya kawakuta Tunisia na Niger tayari ni members wa hilo baraza. Pitia vyema vyanzo vyako vya taarifa.
Nikifikiri wapara miwa!Ndugu huyu Jiwe ndiyo nani kwani Mimi ni Mgeni mno tu hapa na isitoshe nipo zangu tu huku Kwetu Pemba napara Samaki 24/7. Ni wa nchi gani?
We jamaa utakua unakalia kigogo sio bure.Kwanini hujazitaja nchi zingine zote tu zilizopo Afrika na Wewe umewashwawashwa tu Kukimbilia kuitaja Tanzania na siyo Rwanda au Uganda pia?
Asinine.Pathetic