Sidhani kama wa Dar wanafanya wizi wa kiboya hivyo. Ila juzi kituo kimoja hapo Dar kwenu Kuna Binti alitaka kunipiga kijinga sana, nilimwambia mafuta elfu 15, na nikampatia pesa kabisa, akaweka elfu Tisa! Nikamuuliza mbona unaweka 9,000?? Akasema hakusikia vizuri akajifanya kuangalia mkononi nimempa bei gani, akakuta 15,000! Basi akaweka tena mafuta ya 7,000 ili kufidia, nikamwambia umenizidishia buku akakataa tena, tukapiga hesabu nikamuongezea buku yake nikaondoka zangu
Sent using
Jamii Forums mobile app