Wenye magari pitieni hapa kuepuka kupigwa vituo vya mafuta

Hahhahhaha weeee mimi bila machine kusoma sifuri za kutosha sikubali
 
Hahhahhaha weeee mimi bila machine kusoma sifuri za kutosha sikubali
Alivyoanza kujaza hayo ya elfu tisa machine ilikuwa inasoma 0.000 lakini he alivyomaliza kujaza hayo ya elfu Tisa Ali reset upya mashine ili akuongezee yaliyobaki ya elfu sita??? Hadi umewekewa hayo mafuta ya elfu saba badala ya elfu sita amini usiamini kuna mchezo ulichezwa
 
Hahahaha Mpwa, she was trying to teach an old Dog new tricks! Mzee kitu lazima isome masifuri! Hakuna sifuri tunaanza upya au tunaahirisha gemu
 
Hahahaha Mpwa, she was trying to teach an old Dog new tricks! Mzee kitu lazima isome masifuri! Hakuna sifuri tunaanza upya au tunaahirisha gemu
nevertheless an old dog can still be fooled by old tricks🙂🙂, vp lakini si ulichukua risiti mbili ile ya elfu 9 na ya elfu 6, au uliziacha
 
Ukiwa na jenereta nyumbani utaenda na madumu wanayotaka ambayo hadi Leo sijui yapoje,
Basically, EWURA wamezuia watu kununua mafuta kwenye vidumu bila ya kutoa mwongozo wenye generators wananunuaje mafuta?
 
Kama naenda kuweka kwenye kajenereta kangu nyumbani naweka wapi petrol? Au itabidi nikibebe Hadi petrol station?
 
Tusahihishe kidogo hapa sheli ni kampuni ya mafuta kama ilivyo BP, Total na vingine isomeke wanafanya vizuri ukifanananisha na vituo vingine vya Mafuta.Tulizoea kuita Shel nafikiri ni kampuni ya mwanzo kabisa kua na vituo vya mafuta
Kabisa mKuu, Puma na total wako vizuri... Ukiweka mafuta mshale unaona kabisa unapanda [emoji23] tofaut na sheli nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo habari si kwamba hatuzijui mkuu... Tunazijua ila ndio tumezoea kuita sheli na najua umeelewa...
 
Nadhani ifikie mahali BAKITA na TUKI wafanye usanifishaji wa neno SHEL (sheli) ili liingizwe kwenye kamusi ya Kiswahili na liwe na maana ya kituo chochote cha kujazia mafuta.

....coz bongo tumeshazoea kila kituo cha mafuta tunakiita Sheli
Hizo habari si kwamba hatuzijui mkuu... Tunazijua ila ndio tumezoea kuita sheli na najua umeelewa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni kwa staili hii basi nilishapigwa, niliweka mafuta lakini mpaka naondoka kituoni pale mpaka nafika nyumbani mshale haukusogea hata nukta, nikasema tu nimeibiwa ila sikujua nimeibiwaje maana kiwango cha mafuta kinachoingia cha hiyo pesa nakijua. Nilitamani kesho yake nipite niwaambie lakini sikuwa na ushahidi madhubuti wa hili.
Asante kwa elimu hii.
 
vipi risiti za TRA, Tunazo pewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…