Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahhahhaha weeee mimi bila machine kusoma sifuri za kutosha sikubaliUmepigwa mkuu hii mbinu inaitwaga "unga unga" amekujazia ya 9,000 maksudi hayo uliyoongezewa ya elf saba umejaziwa hewa kwasababu haku reset machine, UMEPIGWA!!!
Siku nyingine nenda na kamera ya ushahidi akikufanyia tena wakujazie Lita 50 lasivyo tishia juisambaza video
Alivyoanza kujaza hayo ya elfu tisa machine ilikuwa inasoma 0.000 lakini he alivyomaliza kujaza hayo ya elfu Tisa Ali reset upya mashine ili akuongezee yaliyobaki ya elfu sita??? Hadi umewekewa hayo mafuta ya elfu saba badala ya elfu sita amini usiamini kuna mchezo ulichezwaHahhahhaha weeee mimi bila machine kusoma sifuri za kutosha sikubali
Hahahaha Mpwa, she was trying to teach an old Dog new tricks! Mzee kitu lazima isome masifuri! Hakuna sifuri tunaanza upya au tunaahirisha gemuAlivyoanza kujaza hayo ya elfu tisa machine ilikuwa inasoma 0.000 lakini he alivyomaliza kujaza hayo ya elfu Tisa Ali reset upya mashine ili akuongezee yaliyobaki ya elfu sita??? Hadi umewekewa hayo mafuta ya elfu saba badala ya elfu sita amini usiamini kuna mchezo ulichezwa
nevertheless an old dog can still be fooled by old tricks🙂🙂, vp lakini si ulichukua risiti mbili ile ya elfu 9 na ya elfu 6, au uliziachaHahahaha Mpwa, she was trying to teach an old Dog new tricks! Mzee kitu lazima isome masifuri! Hakuna sifuri tunaanza upya au tunaahirisha gemu
Hahahaha risiti sichukui Mpwa. Alinikabidhi nikatupa! Aaghnevertheless an old dog can still be fooled by old tricks🙂🙂, vp lakini si ulichukua risiti mbili ile ya elfu 9 na ya elfu 6, au uliziacha
alikupa risiti ngapi???Hahahaha risiti sichukui Mpwa. Alinikabidhi nikatupa! Aagh
Mbili kwakua aliweka Mara mbili, ya elfu Tisa na ya elfu sabaalikupa risiti ngapi???
Basically, EWURA wamezuia watu kununua mafuta kwenye vidumu bila ya kutoa mwongozo wenye generators wananunuaje mafuta?Ukiwa na jenereta nyumbani utaenda na madumu wanayotaka ambayo hadi Leo sijui yapoje,
Kama naenda kuweka kwenye kajenereta kangu nyumbani naweka wapi petrol? Au itabidi nikibebe Hadi petrol station?
Mafuta ni kitu muhimu kwenye gari, Ni mara kwa mara tunayajaza haya mafuta lakini tukumbuke pia unaweza kupigwa mchana kweupe.
Hakikisha kabla hujajaza mafuta ile pump ya kujazia imerudishwa kikamilifu kwenye mashine, Pump inaporudishwa lazima mashine isome 0.00, ila endapo pump ikategeshwa ionekane kwamba imerudishwa haitasome 0.00 hapo utakuwa umepigwa.
Hakikisha kwamba ukiweka mafuta basi kiasi kamili kiwekwe bila kuunga unga, mfano ukiwaambia wakuwekee mafuta ya elf 10 wasiweke ya elfu mbili alafu kwenye mashine waongezee ya elfu nane bila kurudisha pump ili isome 0.0, kitachotokea ni kwamba watakuingizia ya elfu mbili tu hayo ya elfu 8 hayatoki itatoka hewa tu.
Mwenzako wa mbele anapojaziwa sisitiza sana pump ipachikwe kwenye mashine ili isome 0;00 usiruhusu mwenzako wa mbele ajaziwe na wewe ujaziwe mafuta bila pump kurudishwa kwenye mashine ili ianze upya.
Hakikisha unaangalia kwenye kioo wameingiza pump kwenye gari yako, ukiwa mzembe wanaweza wanaweza kujijazia kwenye vigaloni.
Omba risiti na uhakikishe ni ya pump waliyokujazia na muda uendane na ulipojaza, nakumbuka niliwahi kupewa risiti ya saa tatu asubuhi wakati nimejaza jioni.
Muhimu: Kwa hizi njia anayeiba sio sheli ni mtu. Usipumbazwe na sheli fulani kusifiwa.
zamani watu wakihisi wanapigwa walikua wanaenda na vidumu vyeupe vile vinavyoonesha ujazo ila Tangu mwaka 2009 EWURA ilipopiga marufuku unaweza kukataliwa kujaziwa, ukitaka kujaziwa uende kirafiki usiende kwa nia ya kuhisi wanakuibiaga.
View attachment 1324474
Kabisa mKuu, Puma na total wako vizuri... Ukiweka mafuta mshale unaona kabisa unapanda [emoji23] tofaut na sheli nyingine
Hizo habari si kwamba hatuzijui mkuu... Tunazijua ila ndio tumezoea kuita sheli na najua umeelewa...Tusahihishe kidogo hapa sheli ni kampuni ya mafuta kama ilivyo BP, Total na vingine isomeke wanafanya vizuri ukifanananisha na vituo vingine vya Mafuta.Tulizoea kuita Shel nafikiri ni kampuni ya mwanzo kabisa kua na vituo vya mafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo habari si kwamba hatuzijui mkuu... Tunazijua ila ndio tumezoea kuita sheli na najua umeelewa...
vipi risiti za TRA, Tunazo pewa!
Mafuta ni kitu muhimu kwenye gari, Ni mara kwa mara tunayajaza haya mafuta lakini tukumbuke pia unaweza kupigwa mchana kweupe.
Hakikisha kabla hujajaza mafuta ile pump ya kujazia imerudishwa kikamilifu kwenye mashine, Pump inaporudishwa lazima mashine isome 0.00, ila endapo pump ikategeshwa ionekane kwamba imerudishwa haitasome 0.00 hapo utakuwa umepigwa.
Hakikisha kwamba ukiweka mafuta basi kiasi kamili kiwekwe bila kuunga unga, mfano ukiwaambia wakuwekee mafuta ya elf 10 wasiweke ya elfu mbili alafu kwenye mashine waongezee ya elfu nane bila kurudisha pump ili isome 0.0, kitachotokea ni kwamba watakuingizia ya elfu mbili tu hayo ya elfu 8 hayatoki itatoka hewa tu.
Mwenzako wa mbele anapojaziwa sisitiza sana pump ipachikwe kwenye mashine ili isome 0;00 usiruhusu mwenzako wa mbele ajaziwe na wewe ujaziwe mafuta bila pump kurudishwa kwenye mashine ili ianze upya.
Hakikisha unaangalia kwenye kioo wameingiza pump kwenye gari yako, ukiwa mzembe wanaweza wanaweza kujijazia kwenye vigaloni.
Omba risiti na uhakikishe ni ya pump waliyokujazia na muda uendane na ulipojaza, nakumbuka niliwahi kupewa risiti ya saa tatu asubuhi wakati nimejaza jioni.
Muhimu: Kwa hizi njia anayeiba sio sheli ni mtu. Usipumbazwe na sheli fulani kusifiwa.
zamani watu wakihisi wanapigwa walikua wanaenda na vidumu vyeupe vile vinavyoonesha ujazo ila Tangu mwaka 2009 EWURA ilipopiga marufuku unaweza kukataliwa kujaziwa, ukitaka kujaziwa uende kirafiki usiende kwa nia ya kuhisi wanakuibiaga.
View attachment 1324474
Kama wa mbele yako hakuchukua risiti na wewe ukajaza kiasi kilekile alichojaza unaweza ukapewa yake wakati hujajaziwa chochotevipi risiti za TRA, Tunazo pewa!