Wenye Magari si huwa mnatutambia kuwa mna hela, sasa kwanini mnalalamika kupanda kwa bei ya mafuta?

Wenye Magari si huwa mnatutambia kuwa mna hela, sasa kwanini mnalalamika kupanda kwa bei ya mafuta?

Na nyie ndiyo mnaongoza kuja na gari zenu Mitaani kutuibia Wake na Mademu zetu huku mkitamba na Kutucheka tusio na Magari.

Yaani EWURA wamepandisha Tsh 400/ tu kwa kila Lita ya Mafuta mnaanza Kulia lia. Hovyo kabisa hivi mwenye Hela huwa analia lia?

Akina GENTAMYCINE tunaopanda Dala Dala Kutwa si huwa mnatucheka kwakuwa hatuna Gari kama nyie kwakuwa tuna Umasikini?

Kuna Mmoja nimemsikia hivi punde Kipindi cha Nipashe cha Radio One akisema kuwa kwakuwa Bei ya Petroli imepanda Tanzania Bara anajipanga kuhamia Visiwani Zanzibar anakodai kuwa amesikia huko Gharama ya Mafuta ni ya chini.

Na mwingine naye nimemsikia akilalamika kuwa kaamka Asubuhi akiwa kabeba Tsh 10,000/ yake ya kuweka Mafuta ya kwenda na kurudi Kazini Kwake Mjini kakuta Bei zimepanda katika Petrol Station na akilalamika kwani hakujua mapema.

Hovyo kweli huyu Jamaa kwani ni nani alimwambia asipende Kusikiliza Vyombo vya Habari (hasa Redio na kutizama Runinga) ili awe anahabarika kuliko kuja kutupigia Kelele na Kulia lia kuwa alikuwa hajui Bei za Mafuta kupanda nchini jana?

Safi sana EWURA kwa Kunikomeshea Mabrazameni na Gari zao za Mikopo kwa Kupandisha Bei za Mafuta ya Petrol na Diesel.

Yaani huku una Gari yako ya Mkopo na bado hujamaliza Deni na EWURA nao Wamekandamiza hapo hapo kwa Kupandisha Bei ya Mafuta.

Kwanza Gari ya nini kwa sasa wakati njia nyingi kwa sasa kuna Usafiri mzuri tu wa Mwendokasi na pia hata Dala Dala nazo ni nyingi na zinapita maeneo mengi tu kwa Nauli yako ya Tsh 500/ hadi Tsh 750/ na Maisha yanaendelea.

Kwa sasa huna Tsh 20,000/ ya Wese (Mafuta) kwa Gari yako ipaki tu Kwako upande Dala Dala kama GENTAMYCINE ukilazimisha ili upate Sifa Mtaani / Barabarani na 'Vimshahara' vyenu Uchwara vya Shilingi Laki Saba na Nusu (750,000/) utaumbuka kwa Gari yako Kuzima njiani Trafiki wakunyooshe au uilaze na Njaa Familia yako.

Kudadadeki tutaelewana tu sasa Ok?
Braza popoma nipo nyuma yako,kimsingi upo sahih wenye magar wanajisahau mno
 
Na nyie ndiyo mnaongoza kuja na gari zenu Mitaani kutuibia Wake na Mademu zetu huku mkitamba na Kutucheka tusio na Magari.

Yaani EWURA wamepandisha Tsh 400/ tu kwa kila Lita ya Mafuta mnaanza Kulia lia. Hovyo kabisa hivi mwenye Hela huwa analia lia?

Akina GENTAMYCINE tunaopanda Dala Dala Kutwa si huwa mnatucheka kwakuwa hatuna Gari kama nyie kwakuwa tuna Umasikini?

Kuna Mmoja nimemsikia hivi punde Kipindi cha Nipashe cha Radio One akisema kuwa kwakuwa Bei ya Petroli imepanda Tanzania Bara anajipanga kuhamia Visiwani Zanzibar anakodai kuwa amesikia huko Gharama ya Mafuta ni ya chini.

Na mwingine naye nimemsikia akilalamika kuwa kaamka Asubuhi akiwa kabeba Tsh 10,000/ yake ya kuweka Mafuta ya kwenda na kurudi Kazini Kwake Mjini kakuta Bei zimepanda katika Petrol Station na akilalamika kwani hakujua mapema.

Hovyo kweli huyu Jamaa kwani ni nani alimwambia asipende Kusikiliza Vyombo vya Habari (hasa Redio na kutizama Runinga) ili awe anahabarika kuliko kuja kutupigia Kelele na Kulia lia kuwa alikuwa hajui Bei za Mafuta kupanda nchini jana?

Safi sana EWURA kwa Kunikomeshea Mabrazameni na Gari zao za Mikopo kwa Kupandisha Bei za Mafuta ya Petrol na Diesel.

Yaani huku una Gari yako ya Mkopo na bado hujamaliza Deni na EWURA nao Wamekandamiza hapo hapo kwa Kupandisha Bei ya Mafuta.

Kwanza Gari ya nini kwa sasa wakati njia nyingi kwa sasa kuna Usafiri mzuri tu wa Mwendokasi na pia hata Dala Dala nazo ni nyingi na zinapita maeneo mengi tu kwa Nauli yako ya Tsh 500/ hadi Tsh 750/ na Maisha yanaendelea.

Kwa sasa huna Tsh 20,000/ ya Wese (Mafuta) kwa Gari yako ipaki tu Kwako upande Dala Dala kama GENTAMYCINE ukilazimisha ili upate Sifa Mtaani / Barabarani na 'Vimshahara' vyenu Uchwara vya Shilingi Laki Saba na Nusu (750,000/) utaumbuka kwa Gari yako Kuzima njiani Trafiki wakunyooshe au uilaze na Njaa Familia yako.

Kudadadeki tutaelewana tu sasa Ok?
We jamaa tokea ugundulike umekuwa Chawa mwijaku anasubiri[emoji28][emoji28][emoji28][emoji1433][emoji1433][emoji1433]
 
Ngoja vijana wenye jazba waje.
Na ndiyo Nimewachokoza na Kuwapandisha Hasira zao Makusudi. Najiandaa tu Kusoma Comments zao za Hasira huku Mimi nikicheka.

Huu Uzi nimeuanzisha 'Makusudically' kabisa Mkuu na najua nitatukanwa na Kushambuliwa mno na wale niliowalenga.
 
Mimi ni mcha Mungu ila hua nalalamika mda wa kusali/kuswali ukizidi coz na mambo mengi ya kufanya.So nkilalamika kwenye mafuta haimanishi kua Sina pesa
 
Na nyie ndiyo mnaongoza kuja na gari zenu Mitaani kutuibia Wake na Mademu zetu huku mkitamba na Kutucheka tusio na Magari.

Yaani EWURA wamepandisha Tsh 400/ tu kwa kila Lita ya Mafuta mnaanza Kulia lia. Hovyo kabisa hivi mwenye Hela huwa analia lia?

Akina GENTAMYCINE tunaopanda Dala Dala Kutwa si huwa mnatucheka kwakuwa hatuna Gari kama nyie kwakuwa tuna Umasikini?

Kuna Mmoja nimemsikia hivi punde Kipindi cha Nipashe cha Radio One akisema kuwa kwakuwa Bei ya Petroli imepanda Tanzania Bara anajipanga kuhamia Visiwani Zanzibar anakodai kuwa amesikia huko Gharama ya Mafuta ni ya chini.

Na mwingine naye nimemsikia akilalamika kuwa kaamka Asubuhi akiwa kabeba Tsh 10,000/ yake ya kuweka Mafuta ya kwenda na kurudi Kazini Kwake Mjini kakuta Bei zimepanda katika Petrol Station na akilalamika kwani hakujua mapema.

Hovyo kweli huyu Jamaa kwani ni nani alimwambia asipende Kusikiliza Vyombo vya Habari (hasa Redio na kutizama Runinga) ili awe anahabarika kuliko kuja kutupigia Kelele na Kulia lia kuwa alikuwa hajui Bei za Mafuta kupanda nchini jana?

Safi sana EWURA kwa Kunikomeshea Mabrazameni na Gari zao za Mikopo kwa Kupandisha Bei za Mafuta ya Petrol na Diesel.

Yaani huku una Gari yako ya Mkopo na bado hujamaliza Deni na EWURA nao Wamekandamiza hapo hapo kwa Kupandisha Bei ya Mafuta.

Kwanza Gari ya nini kwa sasa wakati njia nyingi kwa sasa kuna Usafiri mzuri tu wa Mwendokasi na pia hata Dala Dala nazo ni nyingi na zinapita maeneo mengi tu kwa Nauli yako ya Tsh 500/ hadi Tsh 750/ na Maisha yanaendelea.

Kwa sasa huna Tsh 20,000/ ya Wese (Mafuta) kwa Gari yako ipaki tu Kwako upande Dala Dala kama GENTAMYCINE ukilazimisha ili upate Sifa Mtaani / Barabarani na 'Vimshahara' vyenu Uchwara vya Shilingi Laki Saba na Nusu (750,000/) utaumbuka kwa Gari yako Kuzima njiani Trafiki wakunyooshe au uilaze na Njaa Familia yako.

Kudadadeki tutaelewana tu sasa Ok?
Kupanda bei mafuta kuna side effects nyingi, na wewe zinakugusa directly na indirectly.
 
Na nyie ndiyo mnaongoza kuja na gari zenu Mitaani kutuibia Wake na Mademu zetu huku mkitamba na Kutucheka tusio na Magari.

Yaani EWURA wamepandisha Tsh 400/ tu kwa kila Lita ya Mafuta mnaanza Kulia lia. Hovyo kabisa hivi mwenye Hela huwa analia lia?

Akina GENTAMYCINE tunaopanda Dala Dala Kutwa si huwa mnatucheka kwakuwa hatuna Gari kama nyie kwakuwa tuna Umasikini?

Kuna Mmoja nimemsikia hivi punde Kipindi cha Nipashe cha Radio One akisema kuwa kwakuwa Bei ya Petroli imepanda Tanzania Bara anajipanga kuhamia Visiwani Zanzibar anakodai kuwa amesikia huko Gharama ya Mafuta ni ya chini.

Na mwingine naye nimemsikia akilalamika kuwa kaamka Asubuhi akiwa kabeba Tsh 10,000/ yake ya kuweka Mafuta ya kwenda na kurudi Kazini Kwake Mjini kakuta Bei zimepanda katika Petrol Station na akilalamika kwani hakujua mapema.

Hovyo kweli huyu Jamaa kwani ni nani alimwambia asipende Kusikiliza Vyombo vya Habari (hasa Redio na kutizama Runinga) ili awe anahabarika kuliko kuja kutupigia Kelele na Kulia lia kuwa alikuwa hajui Bei za Mafuta kupanda nchini jana?

Safi sana EWURA kwa Kunikomeshea Mabrazameni na Gari zao za Mikopo kwa Kupandisha Bei za Mafuta ya Petrol na Diesel.

Yaani huku una Gari yako ya Mkopo na bado hujamaliza Deni na EWURA nao Wamekandamiza hapo hapo kwa Kupandisha Bei ya Mafuta.

Kwanza Gari ya nini kwa sasa wakati njia nyingi kwa sasa kuna Usafiri mzuri tu wa Mwendokasi na pia hata Dala Dala nazo ni nyingi na zinapita maeneo mengi tu kwa Nauli yako ya Tsh 500/ hadi Tsh 750/ na Maisha yanaendelea.

Kwa sasa huna Tsh 20,000/ ya Wese (Mafuta) kwa Gari yako ipaki tu Kwako upande Dala Dala kama GENTAMYCINE ukilazimisha ili upate Sifa Mtaani / Barabarani na 'Vimshahara' vyenu Uchwara vya Shilingi Laki Saba na Nusu (750,000/) utaumbuka kwa Gari yako Kuzima njiani Trafiki wakunyooshe au uilaze na Njaa Familia yako.

Kudadadeki tutaelewana tu sasa Ok?
Ukianza kuuziwa Dona kilo 5000 ndio utajua madhara mafuta kupanda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Misery likes company....
halafu ukumbuke hata wenye gari za mikopo walikopa kwa sababu wana sifa za kukopesheka...wewe unakopesheka kiasi gani???🤣🙈🙈.
Siku zote maskini hufurahia anguko la wenzake. Na mtu yeyote maskini sababu yake huwa ni roho mbaya..maana hakuna haja ya kuwa maskini kama huna ulemavu wowote. Maskini akipata kazi anaacha kufanya maana akili yake inamtuma kwamba anamfaidisha boss bila kujua kuwa boss akifirisika atakosa pesa na yeye, akipata hela anatumia hovyo maana familia yake anahisi ndiyo itakayofaidi, mafuta yanapanda anafurahia bila kujua kila kitu kitapanda bei, wenzake wakifirisika anafurahia bila kujua kuwa atakosa mtu wa kumsaidia siku akiwa na matatizo..
Maskini ukimuuliza je tuwaongezee matajiri bilioni moja kila mtu halafu na weee tukuongezee milioni 1 tu? Atasema ' wee.....yaani wapewe Bilioni 1 nzima? Bora wote tukose tu wasiongezewe🥺...haangalii faida anayopata kamwe, yeye lengo ni kuwaangusha watu wawe kama yeye.....Roho mbaya ni mentality ya wenye kuu ya maskini, na baadae huzaa ushirikina, uchochezi na kufa mapema kwa shinikizo la damu, maana kila akiona alofanikiwa anaumia sana na sometime anatumia hata hela yake kuwaendea kwa waganga anazidi kuwa maskini zaidi🤣🙈 na bahati mbaya walofanikiwa ni wengi kwa kuwa Mungu hatoki kijijini wala mtaani kwenu
 
Back
Top Bottom