Unataka nn?hapana
hahahah wazifa unakuja leo nimempa liverpool ashinde nimetia kilo [emoji16] [emoji23] [emoji91] [emoji16]Chukua mzigo huo...au huna wazifaa mzee baba
Kwenye 10 tupo wa2 mm na jolie jolie tuWapo ila wachache sana
hazard ngoja kwanza,Demmis hembu uanzishe thread itakayokutanisha couples zote huku....tuwe tunabadilishana mawili matatu huko
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona kuna wengine wanaplay game tu...mtu ana id mbili,moja ya me na nyingine ya ke,anajitongoza mwenyew anajikubalia mwenyew na ile id ya ke.....maisha yanasonga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ewaaaaaaah umeonaaa eeehDemmis hembu uanzishe thread itakayokutanisha couples zote huku....tuwe tunabadilishana mawili matatu huko
Mmmmmh...na huu uzee wote embu futa kauli shualina[emoji23]Mh nyie vitoto
Chekaaa kidogooocheka uongeze siku, kununa haisaidii
Labda nikuulize wewe jamanHivi kaenda wapi sijamuona
kapeti manyoyaUnataka nn?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bwashee sio mtaaalam sana kama mng,oa kuchaHahahaha wonderful lucky men au sio[emoji23] [emoji23] '[emoji106] [emoji106] [emoji106] ataeninyapulia smart wangu hakii namtoa uti wa mgongo [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Bwasheee si ana huo uwezo?? Kuitoa kabisa spinal cord [emoji23] [emoji23]
Cc Smart911
Hahahah bora ungehonga hyo mzee baba...anakula caaaap huyo liva[emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahah wazifa unakuja leo nimempa liverpool ashinde nimetia kilo [emoji16] [emoji23] [emoji91] [emoji16]
kumbeee[emoji16] [emoji23] [emoji91]Kuamini kuwa kuna wapenzi kindakindaki wanaopendani ni sawa na kuamini mlemavu wa miguu alishinda mbio za riadha mbele ya Bolt
Unafikiri Smart911 ndo wa vimbau mbau visivo hata tuminofu [emoji15] [emoji15] ????mi ndo ugonjwa wangu huooo [emoji23] [emoji23] [emoji91]
Unafanya mchezo na mshanaJr mzee wa vibuyu, lazima unase tuYani mm naringa sana kummiliki mzee baba Jr
Natambaaaa oooh natambaaa[emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji444] [emoji445]
Ukipenda pendaaa kweliiii[emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji445]
Mimi ndo mke halali wa Jr [emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji445]
Mapenzi matamu niwapo nawe Jr[emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji444] [emoji445]
Sioni mwingine wa kufanana na yeye
Nitalienzi penzi lakee sitamwacha asirani[emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji444] [emoji444]
Nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaa Jr [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji444] [emoji445]
Oooooh yeaaaaaaah mahaba ya dhati unayonipatiaaaaaaa[emoji445] [emoji444] [emoji444]
Jr