Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Wenye mahusiano ya mahaba ndani ya JF mnaturusha roho sie tusio na wapenzi humu JF

Yani mm naringa sana kummiliki mzee baba Jr

Natambaaaa oooh natambaaa[emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji444] [emoji445]

Ukipenda pendaaa kweliiii[emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji445]

Mimi ndo mke halali wa Jr [emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji445]

Mapenzi matamu niwapo nawe Jr[emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji444] [emoji445]

Sioni mwingine wa kufanana na yeye
Nitalienzi penzi lakee sitamwacha asirani[emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji444] [emoji444]

Nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaa Jr [emoji444] [emoji444] [emoji445] [emoji445] [emoji445] [emoji444] [emoji444] [emoji444] [emoji445]

Oooooh yeaaaaaaah mahaba ya dhati unayonipatiaaaaaaa[emoji445] [emoji444] [emoji444]
Jr
Shemeji shikamoo. Mbona kaka hapatikani?
 
Mbona kuna wengine wanaplay game tu...mtu ana id mbili,moja ya me na nyingine ya ke,anajitongoza mwenyew anajikubalia mwenyew na ile id ya ke.....maisha yanasonga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hii kali
 
Back
Top Bottom