Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Aiseeee mm nahisi za kwakee ndo zimeninasa harakaaaaKama ni wewe kwenye hiyo avatar ndo maana ulimnasa Mshana Jr kwani inaelekea tunguli zako ni zaidi ya zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee mm nahisi za kwakee ndo zimeninasa harakaaaaKama ni wewe kwenye hiyo avatar ndo maana ulimnasa Mshana Jr kwani inaelekea tunguli zako ni zaidi ya zake.
Ahsante mkuu, nami nipate wa kumtagi humu maana daaah hapa jukwaani patamu sana mpaka raha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utapata tu na wewe usijali
mzee baba umeona man cty kafaa,,Hahahah bora ungehonga hyo mzee baba...anakula caaaap huyo liva[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nambie mama I miss you shemela[emoji7]Shemelaaaa
Utakuja kuniua kwa presha maana ulivo hensam nahis naibiwa muda wotesasa si wanajua na mim rem ongala..wacha wanipe hi tu
asante mkuu kwa kunifarijiPole mkuu komaa na wewe utapata tu mbebez [emoji2] [emoji12]
[emoji23] [emoji91] [emoji23] [emoji91] [emoji23] [emoji91]Itabadi tuanzishe group la mabachela ya KE na ME
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa bhn kwahiyo sisi wazeee akhiii wewe una utan wa ngumiiMshana jr na Demiss waacheni wanamalizia ujana wao...!
treni inavuta meli nchi kavu.
Tembelea piem tuAhsante mkuu, nami nipate wa kumtagi humu maana daaah hapa jukwaani patamu sana mpaka raha
[emoji23] [emoji91] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yani huyu kush jaman ameamua kufunguka ya rohon siyo wale wanaokuja na new ID
Ukiambiwa id yake ya sku zotee akkhiii unazimiaaa
Mbn umeniachia mzigo uje uchukue mke. wakoooNambie mama I miss you shemela[emoji7]
mzee baba tupo tupo tunang'aa macho,, tuna gundu kama twalala na bundi[emoji16]Nimeuchelewa huu Uzi, ila wacha nisome comments hahahahahaha watu na watu wao bwana wengine sisi ndiyo kama mtoa mada tu tnawashangaa akina hazard cfc na Jolie Jolie wake na wengineo
Hongeraaa sana una wivu wa maendeleo kweliiii[emoji23] [emoji91] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
asante kwa kutupa moyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utapata tu na wewe usijali
jamani hivi hiyo PM unadhani ni rahisi? [emoji16]Tembelea piem tu
PM unatuma leo haijibiwai hadi unaamua kudelete [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tembelea piem tu
Unachezaaa Bikojamani hivi hiyo PM unadhani ni rahisi? [emoji16]
Na mashemeji ututafute[emoji23]Nakuloveee sana dada angu wallah nikija Dar lazima tuonane
sina kinyongo na nyie mlio zama dimbwini ila mtupe mbinu za ushindi na sie tupate vyura[emoji16] [emoji23]Hongeraaa sana una wivu wa maendeleo kweliiii