Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Matajiri wajanja wametusukumizia kodi za majengo yao wanayowapangisha wageni tuzilipe sisi ambao hata bei ya tofali hatuijui.
Wajanja hawa kama wangekuwa na nia nzuri na sisi masikini wangeweka bima ya afya (NHIF) tuilipe kwenye mfumo wa LUKU, hii ingetuwezesha tusio na uwezo wa kulipa kwa mkupuo tuwe na bima.
Rais Samia wajanja wamekuzidi kete kwa hili, ondoa kodi ya jengo masikini kuwalipia matajiri weka masikini kujilipia Bima ya Afya kwa mfumo wa LUKU.
Wajanja hawa kama wangekuwa na nia nzuri na sisi masikini wangeweka bima ya afya (NHIF) tuilipe kwenye mfumo wa LUKU, hii ingetuwezesha tusio na uwezo wa kulipa kwa mkupuo tuwe na bima.
Rais Samia wajanja wamekuzidi kete kwa hili, ondoa kodi ya jengo masikini kuwalipia matajiri weka masikini kujilipia Bima ya Afya kwa mfumo wa LUKU.