The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Hommie shida ya hao ni uroho tu yaani changu changu chako changu teh teh teh......
Hommie nimiminie hiyo valeur kidogo naona kwangu imeisha........Kugawana ni kujali banaa!!:yield:
wakuu hivi haya niliyojifunza kwenye hii mada ni ya kweli?
mada imenifunza nisite watoto wangu rose, waridi, asumini, alizeti, maua, lily, jasmine, langilangi, yungiyungi.......
kwa sasa nipo kwa house baaae ntaenda home....:doh:Mpwa uko kwenye HOME au HOUSE ?
huyo yuko kwenye GODOWN kabisa.Mpwa uko kwenye HOME au HOUSE ?
Muite mtoto wako majina yafuatayo SHANIQUA, SHONTELLE, SHANICE, :smile-big::smile-big:
Meeku.:tape::tape::tape::tape:
Nkiki see mangi yako!Meeku.
Mmbese na terewe Ruwa chasandu arera.
majina hayo too ghetto! no thanks ...............bora nichukue risk niite jasmine naweza kunusurika na balaa kuliko la hao kina shaniqua!
huyo yuko kwenye GODOWN kabisa.
Akitaka sandals lazima azitafute dakika kumi. hajui zilipo
nkiki see mangi yako!
Meeku.
Mmbese na terewe Ruwa chasandu arera.
Nkiki see mangi yako!
Nyiura mbonyi?Nkiki see mangi yako!
Aiseee sina uhakika na huu utafiti wako, labda inawezekana ikawa kweli.Nimewahi kusoma sehemu fulani,kuwa watu wenye majina ya Rose huwa na matatizo katika mahusiano,aidha ndoa huw a na migogoro au kutoolew kabisa.Baadaya kusoma elimu ile nilifanya utafiti mdigo kwa kina Rose ninaowajua ,nikagundua asilimia 80 wanamatatizo hayo wewe unasemaje !
Unaulizia mbonyi ya nani?...ya eliza wa jj au yupi?Nyiura mbonyi?
Explain vugezo vya uwezekano huo!Aiseee sina uhakika na huu utafiti wako, labda inawezekana ikawa kweli.
Unaulizia mbonyi ya nani?...ya eliza wa jj au yupi?
Nimewahi kusoma sehemu fulani,kuwa watu wenye majina ya Rose huwa na matatizo katika mahusiano,aidha ndoa huw a na migogoro au kutoolew kabisa.Baadaya kusoma elimu ile nilifanya utafiti mdigo kwa kina Rose ninaowajua ,nikagundua asilimia 80 wanamatatizo hayo wewe unasemaje !