GFM
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 706
- 8
mwaaa ..:smile:poa niko kaunta nimevaa pedopusha ya kijani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwaaa ..:smile:poa niko kaunta nimevaa pedopusha ya kijani
Jamani mbona hivo .............. Anita :bowl:weeweeeeeeeeeee, ngoma iko kwa akina anitha, maria na esther bana, balaah, naskia kwa krosi hao ni balaa
nkashoka maeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeh banaaaaaaaaaaa eeeeh....dah
:smile-big::smile-big::smile-big:nkashoka maee
nilikua na maria akanipiga chini, anita, akaolewa na mzungu
sasa natafuta marianna au keku
Hii theory ina apply kwa waridi pia au lazima ua la kizungu?
Nimewahi kusoma sehemu fulani,kuwa watu wenye majina ya Rose huwa na matatizo katika mahusiano,aidha ndoa huw a na migogoro au kutoolew kabisa.Baadaya kusoma elimu ile nilifanya utafiti mdigo kwa kina Rose ninaowajua ,nikagundua asilimia 80 wanamatatizo hayo wewe unasemaje !
ahahahahaa,you make me lough
weeweeeeeeeeeee, ngoma iko kwa akina anitha, maria na esther bana, balaah, naskia kwa krosi hao ni balaa
simple survey rose muhando!!!!!
jaman nisaidien jinsi ya KUBADILI JINA
=NIPEN PROCESS ZAKE PLEEEEEEEEEEEEZ abeg abeeeeeeg ...dah kumbe rose si jina...so izi tabia zangu zi zangu bali ni za jina la rose?so nikibadilidha nkaitwa chaudala,njelele,kadala au matwamba izi tabia zitadisapear siyo?
bas nipen jins ya kubadili ili jina !!!!!
yes sir.:doh::doh::doh: Kuanzia leo unaitwa SIKUONA