Wenye majina ya rose!

weeweeeeeeeeeee, ngoma iko kwa akina anitha, maria na esther bana, balaah, naskia kwa krosi hao ni balaa
Jamani mbona hivo .............. Anita :bowl:
 
Mi najua wenye majina ya Winnie huwa wana matatizo saaaaana!!!:hippie:
 
eeeeeeeeeeeeeeeeeeh banaaaaaaaaaaa eeeeh....dah
nkashoka maee

nilikua na maria akanipiga chini, anita, akaolewa na mzungu

sasa natafuta marianna au keku
 
nkashoka maee

nilikua na maria akanipiga chini, anita, akaolewa na mzungu

sasa natafuta marianna au keku
:smile-big::smile-big::smile-big:
 

simple survey ROSE MUHANDO!!!!!
 
ahahahahaa,you make me lough

Nauliza tu maana nasikia na kwa kiarabu ni Zahra, kwa kichina Hana, sijui kwa kihindi! Lol

Sasa wote sawa au tatizo ni ua hili likiwa kwa kizungu tu?

🙂
 
wanawake wafupi ndio wanamatatizo siku zote... usijaribu kuoa mwanamke mfupi..:doh: HEADACHE
 
weeweeeeeeeeeee, ngoma iko kwa akina anitha, maria na esther bana, balaah, naskia kwa krosi hao ni balaa

hao cha mtoto dada zao ni akina Lilly......weeeee yupo moja hapa mtaani ni balaaa tupo
 
JAMANI WAKINA FATMA!!!!
hawawezi kuwa na mwanaume mmoja lazima awe na akiba sehemu,kama unaye chunguza vizuri
 
jaman nisaidien jinsi ya KUBADILI JINA
=NIPEN PROCESS ZAKE PLEEEEEEEEEEEEZ abeg abeeeeeeg ...dah kumbe rose si jina...so izi tabia zangu zi zangu bali ni za jina la rose?so nikibadilidha nkaitwa chaudala,njelele,kadala au matwamba izi tabia zitadisapear siyo?
bas nipen jins ya kubadili ili jina !!!!!
 

:doh::doh::doh: Kuanzia leo unaitwa SIKUONA
 
Mimi huwa nasikia wanasema wenye majina ya JACKLINE huwa ni balaaa sijui kama kuna ukweli ndani yake
 
heee heeee....leo!!! ngoja tuone
 
Theory ina ukweli!

Mimi nawajua akina dada kumi na tano hivi wanaitwa Rose - wote wameolewa na kuachika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…