jaman nisaidien jinsi ya KUBADILI JINA
=NIPEN PROCESS ZAKE PLEEEEEEEEEEEEZ abeg abeeeeeeg ...dah kumbe rose si jina...so izi tabia zangu zi zangu bali ni za jina la rose?so nikibadilidha nkaitwa chaudala,njelele,kadala au matwamba izi tabia zitadisapear siyo?
bas nipen jins ya kubadili ili jina !!!!!
jaman nisaidien jinsi ya KUBADILI JINA
=NIPEN PROCESS ZAKE PLEEEEEEEEEEEEZ abeg abeeeeeeg ...dah kumbe rose si jina...so izi tabia zangu zi zangu bali ni za jina la rose?so nikibadilidha nkaitwa chaudala,njelele,kadala au matwamba izi tabia zitadisapear siyo?
bas nipen jins ya kubadili ili jina !!!!!
hahahaaaa... sasa wewe una mambo!!! Hivi Mwadawa je? au Mwanamkasi?Mimi huwa nasikia wanasema wenye majina ya JACKLINE huwa ni balaaa sijui kama kuna ukweli ndani yake
apa kwenye jf si issuesend an email to : [EMAIL="support@jamiiforums.com"]support@jamiiforums.com[/EMAIL]
thank u ..thank u ma daear st..ur real st at lst umenifariji...Rose wangu hayupo katika hizo asimilia 80...yupo katika 20% zilizobaki...
The st. luv them roses... 😛ray::A S-heart-2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
thank u ..thank u ma daear st..ur real st at lst umenifariji...
so niendelee na jina lang?
jaman et finest kanambia niitwe SIJAONA
apa kwenye jf si issue
kwenye vyet vyangu?kuanzia vya komunyo ya kwanza +chekechea?
dah
Rose wangu hayupo katika hizo asimilia 80...yupo katika 20% zilizobaki...
The st. luv them roses... 😛ray::A S-heart-2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
dah, Yaani Rose Kamili kabisa na si mwenye mapungufu siyo? yaani kakamilika eh? kamili gado... au?Rose wako ndio yule Rose Kamili? (usisome katikati ya mistari hapo hommie):nono::nono::nono:
Rose wangu yupo kamili sana si-ndugu....(sijaona mstari hata mmoja ati----kuna ishu hatujamaliza maongezi)Rose wako ndio yule Rose Kamili? (usisome katikati ya mistari hapo hommie):nono::nono::nono:
dah, Yaani Rose Kamili kabisa na si mwenye mapungufu siyo? yaani kakamilika eh? kamili gado... au?
ndo manake..UNA PINGAMIZ babu?Rose wako ndio yule Rose Kamili? (usisome katikati ya mistari hapo hommie):nono::nono::nono:
Duh - kumbe na wewe ni "akina Rose"!
Basi utakuwa na matatizokatika mahusiano yako ... Kubali kataa!
Achana na digidigi, hawajui wasemalo.....(Mama B kamharibu kijana yule)
weeweeeeeeeeeee, ngoma iko kwa akina anitha, maria na esther bana, balaah, naskia kwa krosi hao ni balaa
Lini tunaenda RITA kubadilisha jina?
hao cha mtoto dada zao ni akina Lilly......weeeee yupo moja hapa mtaani ni balaaa tupo