Wenye majina ya rose!

Wenye majina ya rose!

dig digiiiiiiiiiiii leo umeamua kusimamia mauchokoz ....ahh nacheka apa mpk bas...km namwona vle roy ahh achana na vidig dig ivi vina fujo tu lakin havina madhara!!!!!!

hahaha ngoja nikachekee nje mie....kwa hiyo hapo ni kama nyoka wa kibisa? bora mie sijazaliwa digidigi lol:hippie:
 
Taratibu mwenye Jina la Rose......babu ana-KIPWEZA!

Rekebisha kauli yako kabla sijakupandia tukutuku:A S angry::A S angry::A S angry:
nimerekebisha mwaya!!!!!!!!
pole babu
bau we mzima hauumwi ni teamo tu ndo ANAUMWA
JUZ ALISHNDWA ATA KUTAFUNA UKOO PALE
 
yan acha tu nyamayao
uyu baba g mgomvi...vidig dig always vina shda....!!!
atasutwa yeye leo na usukununu wake na atasutwa kwa matarumbeta uku tunampaka upupu akome....bgirta uje na pk up yako tutamweka uko km mbao vile...!!!!
Noted, kamba nibebe pia?
 
hahaha ngoja nikachekee nje mie....kwa hiyo hapo ni kama nyoka wa kibisa? bora mie sijazaliwa digidigi lol:hippie:

dahh we mchokoz mpk bas
hpful mwenyewe teamo dig dig ajaona i!!!!!
 
there you are...!

USHAHIDI NAMBA MBILI:
2-rozi mwenyewe alinifuata kwa muda wake na kuomba NIMSAIDIE ROYA KAZI

haa we mwanaume wewe acha urongo wako
unataka tu mi niwe nanyimwa lift ya kuja jj basi..stak mie!!!!!!
 
USHAHIDI NAMBA TATU:
ROZI NA ROYA walinifuata kwa ujumla wao na kuwaomba ''niwarejeshee amani'' katika ndoa yao
 
haa we mwanaume wewe acha urongo wako
unataka tu mi niwe nanyimwa lift ya kuja jj basi..stak mie!!!!!!
ushahidi namba nne:
HUU UTATOLEWA NA KOPLO LEMA(the finest).....
 
yote tisa ongeeni na hizo keyboard zenu lakini kumi tutakutana kwenye kikao siku si nyingi
 
babu trust me
roy HAUMWI JAman
SA SJUI aka kadg dig kanataka nin ..kachokoz tu..sjui kanataka kumrith st?
mi ata simwelew..
Usiogope mamaa Roze, sisi watakatifu hatuna maneno mengi.
waache dig dig waruke ruke tu!
 
Back
Top Bottom