Wenye majina ya rose!

Wenye majina ya rose!

true that man, nimekutana na kina rose wili maishani mwangu mmoja ameolewa na kuachika na ni malaya mbayaaa anabadilisha wanaume kama nguo na mwingine ni dakika 3 mbele mhuni balaa.......but i cant say ni rose wote wengine wametulia kwakweli
 
Kiukweli kabisa kwa Rose sijawahi kufanya utafiti. Ila nimefanya sana utafiti na kugundua kuwa sijawahi kumfahamu msichana yeyote anayeitwa Lilian akawa ametulia. wote mapepe...
Hivi nyie mnapata wapi muda wa kukumbuka majina? au memory card zenu zina capacity mingi sana.
 
haaaa...wewe wewe...nimecheka mpaka bac Acid..mweh...umenikumbusha chuo kulikuwa na mdada anaitwa sauda na mwanamkac...jamani walikuwa hawaishi kusutwa, mpaka mtu unajiuliza wanapatia wapi muda za ziada wa kusutwa kila kukicha? hawana makoromeo kabisa wagombanishiiii.... hawa yaani mtogoe type.
Yaani nikiona neno "kusutwa" nacheka tu pale baba Gift alipomsema Roya...
 
Habari senyu ndugu saaangu?

Napenda kuulisa hibiii? Hao wakolonyi senyu wana roho musuri kama sa kina Rose?

Mbona wanawaachinei mnachakachua sredi namuna hii?
hapa tatiso msee, ni rosi baanaaa!
 
aaaaaah jamani...mimi mbona jina langu ni Rose na niko kwenye ndoa miaka 12 sasa na tunapendana sana na mume wangu na wala haijawahi tokea tukatishiana kuachana na wala haitatokea....

Ahaaaa kumbe divice tool ya mtu???
 
nope, wacha atokee tuone vagi.

Nyamayao unapenda sana shari bana....
Huyu Baba Zawadi hana ishu....kelele nyingi tu....ni msumbufu asiye na madhara...kwa hiyo hamna vagi...
 
hapa tatiso msee, ni rosi baanaaa!

Hiyo Rosi Nayosungumsiwa hapa, ni ile ya mkombanyi au hata hii 1980 nayotaka kutoa Roho Baba Gifuti na shemegi ake Roya?:doh::doh::doh:
 
Jaman naomben mnitajie jina gan halina matatizo?
Nikiitwa salome ndo ntakuwa sina tabia mbaya?
Nyinyi wenyewe kwa majina yenu mshajichunguza na mkajiakikisha hamna pbm??????
Hakunja jina la ukweli km rose.
 
Jaman naomben mnitajie jina gan halina matatizo?
Nikiitwa salome ndo ntakuwa sina tabia mbaya?
Nyinyi wenyewe kwa majina yenu mshajichunguza na mkajiakikisha hamna pbm??????
Hakunja jina la ukweli km rose.

Nna kashemeji kangu kanaitwa Rose.....Kanagawa baioloji kama kamelaaniwa.

Nasikia baioloji za viumbe Rose zina aleji na baridi...Samahani kama nimekukwaza wewe, Roya na Baba Gift.
 
Nyamayao unapenda sana shari bana....
Huyu Baba Zawadi hana ishu....kelele nyingi tu....ni msumbufu asiye na madhara...kwa hiyo hamna vagi...


nilikuwa nataka tushirikiane tumsute yeye...lol,
 
Yaani nikiona neno "kusutwa" nacheka tu pale baba Gift alipomsema Roya...
itabid leo teamo akae vzur
anieleze kwanini amesema ivo?
yan kadig dig kale kamwambia vile simba ahh i hatar
 
Dada mnoko hujambo? nimekumisi kama Rose............:smile-big::smile-big::smile-big::hippie::hippie::hippie:

mhhh ngoja nikujibu tu cjambo, nikiendelea tutaendelea tutafika kuleeee kubaya, wacha niishie hapa.
 
Dada mnoko hujambo? nimekumisi kama Rose............:smile-big::smile-big::smile-big::hippie::hippie::hippie:

nipo mkuu
leo jion hongera baa kuna kikao cha kumsuta TEAMO ..iweje amwambie vile st..
 
jaman nisaidien jinsi ya KUBADILI JINA
=NIPEN PROCESS ZAKE PLEEEEEEEEEEEEZ abeg abeeeeeeg ...dah kumbe rose si jina...so izi tabia zangu zi zangu bali ni za jina la rose?so nikibadilidha nkaitwa chaudala,njelele,kadala au matwamba izi tabia zitadisapear siyo?
bas nipen jins ya kubadili ili jina !!!!!

Jamani mweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Dunia inakwenda wapi????????? Uhiiiii. Ebu ngoja kidogo!!! Hivi jina la mtu linauhusiano gani na tabia yake? Kwanza hao wanaotunga majina hayo kwa watoto wao huwa hawafahamiani na hawatumiani salaam. Mara nyingi wapewao majina huwa bado wachanga na tabia zao huwa hazijajiweka bayana.:A S-baby: Sasa hii inakuwaje? Kazi kweli kweli.:sad:

Hivi Rose ulitaka jinsi ya kubadili jina. Nakuomba usibadili jina lako wewe endelea na jina lako zuri la ua la waridi. Manshallah jina zuri sana. Ili ukilazimisha hatua unayoweza kuchukua ni kwenda kwa wakili au Mwanasheria unaapa kulikana jina lako hilo na unamwambia kuwa unataka ufahamike kwa jina jipya nalo unalitaja. Hati hiyo inatangazwa magazetini basi unakuwa na jina jipya.:israel: As simple as that. Lakini inabidi ulipie ada kiasi sikumbuki.
 
mhhh ngoja nikujibu tu cjambo, nikiendelea tutaendelea tutafika kuleeee kubaya, wacha niishie hapa.

Afadhali, ndo raha ya kuitwa nyamayangu, ungeitwa Rose shemeji yangu ingekula kwake.:smile-big::smile-big::smile-big:
 
baba G ni mgomvi halafu haan nguvu....haahaaa ngoja anitokeze huko mweh.
yan acha tu nyamayao
uyu baba g mgomvi...vidig dig always vina shda....!!!
atasutwa yeye leo na usukununu wake na atasutwa kwa matarumbeta uku tunampaka upupu akome....bgirta uje na pk up yako tutamweka uko km mbao vile...!!!!
 
Back
Top Bottom